Serikali ni wakati wa kutoa mwongozo kuhusiana kuhusu ulipaji wa ada shuleni baada ya tamko la Rais shule kufunguliwa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Kwa miezi mitatu mpaka mitatu na nusu wanafunzi wamekuwa nyumbani kutokana na janga la Corona.

Na sasa masomo yamekuwa resumed tunaamini yataendelea na mwishoni mwa mwezi wa 11 au katikati ya mwezi Dec kutakuwa na likizo mpaka Januari.

Shule ni Huduma. Tunalipia huduma ambayo ktk miezi hiyo mitatu mpaka mitatu na nusu hakukuwa na huduma hiyo. Je ada bado zitabaki zile zile za Milion 2 ,Mil 3 na Mil 4 kwa primary na baadhi ya sekondari?

Nadhani kuna haja ya Serikali kufanya mgawanyo ambao hautaumiza wazazi ktk suala hili.sababu kama wazazi watalipa ada ile ile ya mwaka mzima ni wazi watakuwa wanaumizwa na kuzifaidisha shule ambazo muda huo wote hazikuwa zikiingia gharama yoyote ila zimekuja kupata faida.

Ni kama gari ambayo ilikuwa imepark miezi yote hiyo then unapokuja kukodi tena unaambiwa ulipie na miezi ile ambayo gari lilipark ukiacha kuwa kuna siku mwenye gari alikuwa analiwasha kulipasha moto halafu anazima tena.

Wenye shule binafsi wamekuja kwa kasi na kuanza kuwasumbua wazazi wakitaka ada na kusahau kuwa hata wazazi wengi wameathirika kwa janga hili la Corona.

Maoni yangu ni kuwa ada igawanywe kwa miezi then ipigwe hesabu ya miezi ambayo wanafunzi hawakuwa shuleni itolewe then ilipwe kwa miezi iliyobaki.

Wazazi wengi wamekuwa wakilalamikia jambo hili la kudaiwa ada ya mwaka mzima wakati watoto hawajasoma mwaka mzima.na athari ya Corona imewapata wengi.

Najua jambo hili wamiliki wa shule na wanafunzi litawatoa povu sana. Tujadiliane kwa busara na akili.
 
Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Je ni muda upi unaotosha kufidia siku zote zilizopotea?
 
Mkuu umeandika vizuri sana na serikali inabidi kutolea ufafanuzi ,maana watoto hakuna Huduma walizopata why kulipa ada ya mwaka mzima ?Hata hivyo kama serikali itachelewa kutoa tamko basi wazazi tuzikomalie shule maana huu utakua wizi mzazi ajaleta corona ivyo lazima mwaka ugawanywe kwa robo 4 sawa na miezi mitatu mitatu na tunaondoa ada ya robo moja ambayo watoto walikua nyumbani
 
Naamini maelekezo yatakuwa mazuri, lazima siku ambazo Watoto hawakuwa shule lazima gharama yake ipungue
Ndalichako anapaswa haraka sana atoe maelekezo kwa kuwa watoto wamekaa miezi minne basi ndani ya mwaka hakuna muda ambao unapaswa kufidia basi ada nazo inabidi zibadilishwe ulipaje wake
 
Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hapana lipa kadiri unavyotumia kama Meter ya LUKU.
Shule zina bima ya majanga,na Corona ni janga wapate fidia kutoka huko sio wazazi.
 
Chilemba haiwezekani wakamaliza silabasi ya miezi minne kwa kufidia.hilo haliwezekani sababu ninaufahamu na jambo hilo. Kiuhalisia ni ngumu.


Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa miezi mitatu mpaka mitatu na nusu wanafunzi wamekuwa nyumbani kutokana na janga la Corona.

Na sasa masomo yamekuwa resumed tunaamini yataendelea na mwishoni mwa mwezi wa 11 au katikati ya mwezi Dec kutakuwa na likizo mpaka Januari.

Shule ni Huduma. Tunalipia huduma ambayo ktk miezi hiyo mitatu mpaka mitatu na nusu hakukuwa na huduma hiyo. Je ada bado zitabaki zile zile za Milion 2 ,Mil 3 na Mil 4 kwa primary na baadhi ya sekondari?

Nadhani kuna haja ya Serikali kufanya mgawanyo ambao hautaumiza wazazi ktk suala hili.sababu kama wazazi watalipa ada ile ile ya mwaka mzima ni wazi watakuwa wanaumizwa na kuzifaidisha shule ambazo muda huo wote hazikuwa zikiingia gharama yoyote ila zimekuja kupata faida.

Ni kama gari ambayo ilikuwa imepark miezi yote hiyo then unapokuja kukodi tena unaambiwa ulipie na miezi ile ambayo gari lilipark ukiacha kuwa kuna siku mwenye gari alikuwa analiwasha kulipasha moto halafu anazima tena.

Wenye shule binafsi wamekuja kwa kasi na kuanza kuwasumbua wazazi wakitaka ada na kusahau kuwa hata wazazi wengi wameathirika kwa janga hili la Corona.

Maoni yangu ni kuwa ada igawanywe kwa miezi then ipigwe hesabu ya miezi ambayo wanafunzi hawakuwa shuleni itolewe then ilipwe kwa miezi iliyobaki.

Wazazi wengi wamekuwa wakilalamikia jambo hili la kudaiwa ada ya mwaka mzima wakati watoto hawajasoma mwaka mzima.na athari ya Corona imewapata wengi.

Najua jambo hili wamiliki wa shule na wanafunzi litawatoa povu sana. Tujadiliane kwa busara na akili.
Ni sahihi kabisa, ikiwezekana Mama Ndalichako apewe nakala ya hili bandiko. Asante
 
NA WAZAZI WALIOBAKI MAJUMBANI BILA MALIPO UTAWALIPA WEWE.. THINK
HII CORONA IMEPIGA KOTE MKUU SOMA NYAKATI... UGANDA WAMEAMBIWA KABISA WAJIPANGE KUPUNGUZA MALIPO YA QTR WANAFUNZI AMBAO AWAJASOMA
LIKEWIS
MH NDALICHAKO LAZIMA AONGELEE HILI SWALA MAPEMA KABLA YA KUFUNGUA...
ST MERRYS


ST......
FE.....
HAO WALIKUWA WANASOMA VIA ONLINE NA WANAFANYA MITIHANI KAMA KAWAIDA NA KAMA HUNA LAPTOP ULIPEWA WAKIRUDI UNARUDISHA HAO HAKI KUENDELEA KULIPA YOTEE

Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, private school ni biashara za watu.
Pia serikali haiwezi kuingilia makubaliano yako wewe na shule ambayo ukimpeleka mwanao kwa hiyari yako.
 
Kaka shule zilikuwa zinalipa walimu Ada Kama kawaida Hilo utambue, lakini kwa maelezo ambayo watapewa walimu nikuhakikisha Wana maliza silabasi kwa kujaribu kufidia muda ulio potea , Sasa Kama wata maliza silabasi yanini wewe uchangie nusu wakati wao wametoa

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Walimu ni service providers, Mimi sina mkataba na mshahara wa mwalimu, nina mkataba na shule.

Kwaiyo nikiwa sijalipia DSTV ambayo sijatumia unataka wafanyakazi waje kuandamana nyumbani kwangu?

Walimu wanalipwa na shule, wana mkataba na shule, ni mkataba wa ajira, wamalizane.

Mimi sijapata huduma miezi mitatu unataka nilipie...fikiria mara mbili alaf uje
 
UMENIFURAHISHA KWELI KWELI
UNAJUA HIZO SHULE ZINAFWATA MIONGOZO KADHAA YA SERKL
NA SOMA ALICHOANDIKA MA. PROF UJE TENA...
UNAJUA WALITAKA KUONGEZA ADA WAKAPIGWA MAFURUKU NA SERIKALI... HILI NALO TUJADILI
Mkuu, private school ni biashara za watu.
Pia serikali haiwezi kuingilia makubaliano yako wewe na shule ambayo ukimpeleka mwanao kwa hiyari yako.
 
Kwani wenye shule ndyo walileta corona? Ww lipa ada acha njaaa zako

Ile n huduma inalipwa huduma
Ukizaa(KAMA MBEGU ZA UZALISHAJI ZIPO)
ukapata kanafasi kukupeleka mtoto private utajua hayaa siohilo wengine tunatoaa hadi 250k kwendahapo Mikumi n huduma
Likewise wanalipa wazazi kwa huduma watoto wanayopata samahani kama wewe n mwl...... Msikilize NDALICHAKO PROF utaelewa... Kwabahatimbaya sikusema magazeti mwongozo umeshatokaa utekelezaji umebakia
 
Back
Top Bottom