sababu

The Black Liberation Army (BLA) was an underground Black Power organization that operated in the United States from 1970 to 1981. Composed entirely of Black Panthers (BPP) who served as members of both groups, the organization's program was one of war against the United States government, and its stated goal was to "take up arms for the liberation and self-determination of black people in the United States." The BLA carried out a series of bombings, killings of police officers and drug dealers, robberies (which participants termed "expropriations"), and prison breaks.

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila kinachotokea katika maisha yako kina sababu ya kutokea

    Kijiko alizaliwa mjini, kijana msafi sana kwa muonekano. Alimaliza masomo na kupata ajira, alifanikiwa kufungua na biashara ya maduka ya chakula. Kijiko hakua na shida ya pesa ya kula ingawa hakua tajiri. Alikua kwenye mahusioani na binti mmoja mwajiriwa katika ofisi ya serikali. Binti...
  2. fungi06

    JamiiForums Tanzania Sababu gani inayofanya meno ya mbele kufa ganzi ukingata barafu

    Za mida? Nimekua nikifikiria mno juu ya ili swala bila mafanikio Japo ni wazi kila mzizi wa jini uko connected mpaka kwenye ubongo naisi imnazifahamu nerves vyema? Basi kila jino mdomoni mwako liko connected na ubongo lakini turejee kwenye kichwa cha uzi kilivyo sema apo juu Kwa wale...
  3. Replica

    JamiiForums Tanzania Aida Khenan: Chama kimeniteua nikashinde sio kushiriki uchaguzi

    Leo mbunge pekee wa kuchaguliwa kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia jimbo la Nkasi Kaskazini amefanya mahojiano na mwandishi wa idhaa ya Kiswahili ya DW, Deo Makomba na mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo. MWANDISHI: Unajisikia vipi hasa kuwa mmoja wa wabunge...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

    Baada ya kumteua kisha kuthibitishwa na Bunge mwishoni mwa wiki, leo asubuhi Rais John Magufuli atamwapisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa ataapishwa ili kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kipindi cha pili ikiwa ni siku tatu baada ya Bunge kumthibitisha. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara...
  5. fungi06

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini wanaume wako tayari kuwa na wanawake wenye mahusiano mengine tofauti na wanawake walivyo?

    Mapenzi ni hasara tupu... Za mida... Nimekua niko namawazo sana hii siku sijui labda ni kwa sababu sijaona sms ya nimpendae ikiji display..... But namaswali machache... Ivi kwa nini wanaume wengi huwa tuko tiari kuwa spare tier sana Nikimaanisha kuwa vijana wengi tuko tiyari kuwa na mke wa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Putin kustaafu Urais mapema 2021 kwa sababu ya Parkinson disease

    Inakuwaje wanajamvi! Kuna tetesi huenda mwamba Strongman Vladimir Putin Rais wa Urusi akastaafu Urais mapema 2021. Inasadikika Putin 68, ameanza kuonyesha dalili za Parkinson na kuleta wasiwasi Kremlin na kusababisha sheria za haraka haraka zitungwe awe na kinga ya maisha. Aidha mpenzi...
  7. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu za baadhi ya mabinti kuwa wagumu kupanua mapaja

    *HOFU YA NGONO ( GENOPHOBIA) Hofu ya ngono pia huitwa "genophobia" au "erotophobia." Hii ni zaidi ya kutopenda tu au chuki. Ni hali ambayo inaweza kusababisha hofu kali au hofu wakati ujamaa wa kijinsia unajaribiwa. Kwa watu wengine, hata kufikiria juu yake kunaweza kusababisha hisia hizi...
  8. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Watu wa mijini wengi ni wagonjwa kwa sababu ya kuvaa viatu

    Mwanadamu asili yake ni udongo. Kuna connection kubwa sana kati ya udongo na mwanadamu. Hata neno Adam ambalo limeleta neno mwanadamu linatokana na neno "Adamah" la Kiebrania ambalo humaanisha udongo. Katika kutuumba Mungu aliweka vitu katika viganja vya miguu na mikono ambayo vikikutana na...
  9. safuher

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi hufa mapema kwenye ndoa kwa sababu moja kubwa ya wao kuwa na umri mkubwa kuliko wake zao

    Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu. Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea. Sasa tukija kwenye mas'ala ya...
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wanachama wa CHADEMA zaidi ya 350 wanashikiliwa Magerezani na kwenye vituo vya Polisi nchini Tanzania kwa sababu za Uchaguzi wa 2020

    Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi . Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu asema ameamua kwenda uhamishoni Ubelgiji kwa sababu ana hati ya ukaazi ya nchi hiyo

    Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lissu amewasili salama salimini nchini Ubelgiji. Tundu Lissu amesema ameamua kwenda kuishi Ubelgiji na siyo sehemu nyingine kwa sababu ameshakaa nchini humo kwa miaka mitatu na kwamba ana hati ya ukaazi ya nchi hiyo. Chanzo: BBC Dira ya Dunia...
  12. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM ni chama makini. Kinapofanya makosa hujitathimini na kujirekebisha na hii ndio sababu ya kupata ushindi mnono

    Iwe ni mtu au taasisi makini lazima inapofanya makosa ijitathimini na kujua ilikosea wapi ili iweze kujirekebisha na kutofanya makosa tena. Ccm kama chama makini kilifanya tathimini na kutambua kuwa kura za maoni huwa ni chanzo cha kushindwa na wapinzani ndio maana safari hii walikuwa makini...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Sababu za Mtoto kuzaliwa Njiti

    Kila mwaka watoto takribani milioni 15 huzaliwa kabla ya miezi tisa yaani njiti na idadi hii imekuwa ikiongezeka siku hadi siku. Ni moja kati ya sababu inayochangia kwa wingi vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano duniani. Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikadiria takribani watoto milioni...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Prof. Adelardus Kilangi aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais Magufuli kutofanya mabadiliko watendaji wa Serikali, Mawaziri kubadilishwa

    Prof. Adelardus Lubango Kilangi amekuwa mtu wa kwanza kuteuliwa na Rais John Magufuli kwa kipindi cha muhula wa pili wa Uongozi wa Rias Magufuli. Prof. Kilangi ameteuliwa na kuapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ambapo amesema hii imeonesha Rais ana imani naye kwa hivyo ameahidi...
  15. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Sabubu za CHADEMA kushindwa Uchaguzi Mkuu na Sababu za CCM kushinda Uchaguzi Mkuu 2020

    KWANINI CCM WAMESHINDA, NA WAPI WAPINZANI WAMEJIKWAA. TATHIMINI INALETWA NA DON NALIMISON. 1. KWANINI CCM WAMESHINDA? Tuangalie pande mbili Chanya na Hasi. Tuanze na MATOKEO Chanya: CCM ndio Chama kinachoshika Dola na hata Uchaguzi umefanyika TUME ya Uchaguzi ikiwa chini ya Dola ya CCM...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Tusishupaze shingo tukaruhusu raia wetu wapewe ukimbizi Mataifa ya nje kwa sababu za kiusalama na siasa

    Tanzania ni nchi inayoamini katika Demokrasia. Demokrasia ni mfumo unaoambatana na Uhuru wa kusema, Uhuru huo wa kusema umewekewa mipaka na sheria pamoja na katiba na hakuna mtu mwingine mwenye mamlaka ya kumhukumu aliyesema kwamba ametenda kosa bali nafasi ya kuhukumu imeachwa mahakama. Upande...
  17. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zijue sababu 10 za wanawake walioolewa kuchepuka

    Ukweli ni kwamba wanawake wengi walioolewa huchepuka, na tafiti zinaonyesha 97 % ya wanawake waliopo kwenye mahusiano wamewahi kuchepuka. Sasa Leo nakuletea sababu za wake za watu kuchepuka 1: Kazi Wanawake wengi huingia katika tamaa ni kutokana utengano uliopo kati ya mume na mke...
  18. 2019

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hizi ndiyo sababu zilizompa Dkt. Magufuli ushindi wa kishindo

    Kwanza natoa pale kwa upinzani hasa CHADEMA kuwa uchaguzi huu sio kama 2015 ambapo kila mtanzania alikuwa amechoshwa na CCM. Na kila raia alikua tayari kwa lolote ikisubiriwa kauli tu kwamba sasa tuingie barabarani tukichafue. 1. Baada ya Magufuli kuingia 2015 akafuta kazi migambo wote. Hapa...
  19. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ni Afrika kwa sababu ya Uvivu hata namna yetu ya Kukaguana ni ya hovyo pia. Ziara za kushtukiza ni Usanii

    Huwa najiuliza hizi ziara za kushtukiza lengo lake huwa ni kugundua nini? Unaweza shtukiza shambani kujua kama uliowapa kazi ya kulima wanalima au wamelala chini ya vivuli. Kinyume na hapo dunia ya leo haina wavivu wa namna hiyo au wafujaji wa namna hiyo, ina watu ambao wapo kazini lakini si...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Sababu zilizosababisha 'Upinzani' kufeli vibaya

    1. Vyama vingi kama sio vyote vya upinzani havina mizizi ngazi za chini badala yake vina majina makubwa ya viongozi pale juu wanaofanya propaganda kubwa. 2. Hakuna tafiti za kina zinazofanyika tokea chaguzi moja mpaka chaguzi nyingine nini hasa sababu ya kushindwa jambo linalopelekea kubakia na...
Back
Top Bottom