Wimbi la Wafanyabiashara kufunga maduka yao kwa sababu ya kutofautiana na Serikali lashika kasi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,635
218,068
Ilianza Songea na sasa ni Mafinga

Wafabiashara  eneo la soko kuu mjini Mafinga mkoani Iringa wamefunga maduka waki ( 640 X 640 ).jpg

Kesho ni wapi ?
 
Jibu zuri takwimu Mwezi March 2021, Quater ya 1 tutapata takwimu nzuri majibu mwendelezo madhara Agency notice kutumia task force.Natamani TRA waendelee kutujuza makusanyo Jan21;Feb21 na March21 kama taarifa ile ya 2T... ya Dec 20.
 
Walidhani kuongoza nchi ni rahisi kama kwenda sokoni kununua mchicha, hao wafanyabiashara wanawekewa mazingira magumu ya kufanyia biashara zao ikiwemo ushuru kila upande wakati wateja wa biashara zao hawaonekani, mkifanya mchezo uchumi wa hii nchi utasimama, watu watakuwa wanakwenda kula ikulu ndogo za kila mkoa.
 
Jibu zuri takwimu Mwezi March 2021, Quater ya 1 tutapata takwimu nzuri majibu mwendelezo madhara Agency notice kutumia task force.Natamani TRA waendelee kutujuza makusanyo Jan21;Feb21 na March21 kama taarifa ile ya 2T... ya Dec 20.
Kwani unadhani wao hawajui kuwa maji sasa yapo shingoni?
 
ondokeni ikulu.
Tanzania ni yetu sote na wewe , denooJ, ukiwemo( vinginevyo useme kabisa hapa kuwa wewe si mtanzania). Kwa hiyo, changamoto zinazomkabili mtanzania wa Songea, Mafinga ,Tanga, Sirali na hata Chakechake tunapaswa kuzitafutia ufumbuzi kwa kila mtanzania kwa nafasi aliyonayo.

Ufumbuzi unaweza kuwa wa kutoa mawazo chanya ama mali ama nguvu kazi kutatua changamoto hiyo. Huo ndiyo muhimili wa roho ya utaifa unaotuleta pamoja kama watanzania. Wasiotutakia mema wako nashughuli nyingi kwa nia ovu ya kuvunja muhimili wetu huu wa utaifa! (Sijasema wewe ni mmojawao).

Kitendo cha baadhi ya watu tena bila aibu kutoka hadharani hasa mitandaoni kushangilia changamoto zinazowakabili wenzetu badala ya kutafuta ufumbuzi, kukebehi juhudi za wanaojaribu kutatua changamoto hizo badala ya kuungana nao kuleta mawazo chanya kupata ufumbuzi nakadhalika nakadhalika, ni kitendo cha ovyo kufanywa na watu tena wanaojinasibu wana akili kubwa!

Nawasihii watanzania wenzangu tuwe na roho ya utaifa na tuionyeshe kwa kuungana pamoja kwa amani na upendo kukabiliana na changamoto zinazotukabili kwa mtanzania mmoja mmoja, kundi ama taifa.

Asanteni kwa kusoma bandiko langu hili.
 
Tanzania ni yetu sote na wewe , denooJ, ukiwemo( vinginevyo useme kabisa hapa kuwa wewe si mtanzania). Kwa hiyo, changamoto zinazomkabili mtanzania wa Songea, Mafinga ,Tanga, Sirali na hata Chakechake tunapaswa kuzitafutia ufumbuzi kwa kila mtanzania kwa nafasi aliyonayo.

Ufumbuzi unaweza kuwa wa kutoa mawazo chanya ama mali ama nguvu kazi kutatua changamoto hiyo. Huo ndiyo muhimili wa roho ya utaifa unaotuleta pamoja kama watanzania. Wasiotutakia mema wako nashughuli nyingi kwa nia ovu ya kuvunja muhimili wetu huu wa utaifa! (Sijasema wewe ni mmojawao).

Kitendo cha baadhi ya watu tena bila aibu kutoka hadharani hasa mitandaoni kushangilia changamoto zinazowakabili wenzetu badala ya kutafuta ufumbuzi, kukebehi juhudi za wanaojaribu kutatua changamoto hizo badala ya kuungana nao kuleta mawazo chanya kupata ufumbuzi nakadhalika nakadhalika, ni kitendo cha ovyo kufanywa na watu tena wanaojinasibu wana akili kubwa!

Nawasihii watanzania wenzangu tuwe na roho ya utaifa na tuionyeshe kwa kuungana pamoja kwa amani na upendo kukabiliana na changamoto zinazotukabili kwa mtanzania mmoja mmoja, kundi ama taifa.

Asanteni kwa kusoma bandiko langu hili.
Aliyeanzisha ni huyo baba ako mwenyewe kuwa bagua watu kwa vyama, dini, makabila na ukanda, anza kumshauri yeye aione Tz ni mali ya watu wote na siyo ya kikundi fulani.
 
Walidhani kuongoza nchi ni rahisi kama kwenda sokoni kununua mchicha, hao wafanyabiashara wanawekewa mazingira magumu ya kufanyia biashara zao ikiwemo ushuru kila upande wakati wateja wa biashara zao hawaonekani, mkifanya mchezo uchumi wa hii nchi utasimama, watu watakuwa wanakwenda kula ikulu ndogo za kila mkoa.
Hapa marehemu Ben alichemsha sn
 
Jibu zuri takwimu Mwezi March 2021, Quater ya 1 tutapata takwimu nzuri majibu mwendelezo madhara Agency notice kutumia task force.Natamani TRA waendelee kutujuza makusanyo Jan21;Feb21 na March21 kama taarifa ile ya 2T... ya Dec 20.

Bora hata waendelee kukaa kimya wasiendelee kutulisha Matango pori, usishangae wakasema wamekusanya 2.6t@month.
 
Back
Top Bottom