mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Kwa hiyo mnafikiri watapata GPA kubwa ama uzalishaji utaongezeka sio?
Kitu mnashindwa kutambua ni kuwa wengi tunanata. NA DATA TU, HAYO MENGINE NI ADDITIONAL TU, MAANA KUNA VIFURUSHI VYA DAKIKA NA SMS MTU ATAJIUNGA HATA HIVYO HUWA HATUMALIZI HAYO MADAKIKA NA SMS HIVYO HAKUNA UMUHIMU WA KUPUNGUZA DATA KILA WAKATI.
AMEN
Kitu mnashindwa kutambua ni kuwa wengi tunanata. NA DATA TU, HAYO MENGINE NI ADDITIONAL TU, MAANA KUNA VIFURUSHI VYA DAKIKA NA SMS MTU ATAJIUNGA HATA HIVYO HUWA HATUMALIZI HAYO MADAKIKA NA SMS HIVYO HAKUNA UMUHIMU WA KUPUNGUZA DATA KILA WAKATI.
AMEN