Nakubaliana na Rais Magufuli kwa sababu enzi za "mitishamba" afya za Watanzania zilikuwa imara!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,543
141,351
Anachokisema Rais Magufuli ni kwamba Watanzania tusipaparikie chanjo bali tuimarishe kinga zetu kwa kutumia tiba na njia za asili ambazo zimekuwepo kwa muda mrefu.

Nijuavyo mimi kitengo cha utafiti wa tiba za asili kimekuwepo tangu 1971 kabla hata ya hii NIMR iliyoasisiwa miaka ya 1980s na dawa za asili zimeponya na kuimarisha kinga za watanzania wengi.

Nakubaliana na Rais Magufuli kwamba tuchukue tahadhari kwa mbinu zetu za ndani badala ya kukimbilia chanjo ambazo hatuna uhakika nazo.

Hata kuku wa kienyeji kinga yake ni tofauti na kuku wa kisasa kama unabisha waulize wafugaji watakuelimisha.

Maendeleo hayana vyama!
 
Naunga mkono hoja Bwashee! Hospitali zetu zisimamishe hizi chanjo kwa watoto wachanga mara moja! Imagine mtoto anapigwa masindano hadi alama ya ndui inajitengeneza kwenye mkono? Hawa mabeberu wametuchelewesha sana kwenye dawa zetu za asili.
 
Naunga mkono hoja Bwashee! Hospitali zetu zisimamishe hizi chanjo kwa watoto wachanga mara moja! Imagine mtoto anapigwa masindano hadi alama ya ndui inajitengeneza kwenye mkono? Hawa mabeberu wametuchelewesha sana kwenye dawa zetu za asili.
Hahaaaa!!yaani mambo mengine meko huwa anasema tu, kama utani lakini wafuata upepo tayari wanalimeza kama lilivyo!!waulize ktk nchi za kiarabu kwenye maeneo ambayo walikataa chanjo ya polio!!kilitokea nini??baadaye ilibidi tu wakubali.kila kitu umsingizie mzungu?!!unawalaumu wakutafutie chanjo ya malaria wakati hiyo malaria ipo africa tu??si mtafute wenyewe mnayoiita chanjo ya malaria!!kama ipo
 
Hahaaaa!!yaani mambo mengine meko huwa anasema tu, kama utani lakini wafuata upepo tayari wanalimeza kama lilivyo!!waulize ktk nchi za kiarabu kwenye maeneo ambayo walikataa chanjo ya polio!!kilitokea nini??baadaye ilibidi tu wakubali.kila kitu umsingizie mzungu?!!unawalaumu wakutafutie chanjo ya malaria wakati hiyo malaria ipo africa tu??si mtafute wenyewe mnayoiita chanjo ya malaria!!kama ipo

Mkuu kwa kweri ujinga mzigo kama wa kuni tu. Yote hubebwa kichwani.
 
Anachokisema Rais Magufuli ni kwamba Watanzania tusipaparikie chanjo bali tuimarishe kinga zetu kwa kutumia tiba na njia za asili ambazo zimekuwepo kwa muda mrefu.

Nijuavyo mimi kitengo cha utafiti wa tiba za asili kimekuwepo tangu 1971 kabla hata ya hii NIMR iliyoasisiwa miaka ya 1980s na dawa za asili zimeponya na kuimarisha kinga za watanzania wengi.

Nakubaliana na Rais Magufuli kwamba tuchukue tahadhari kwa mbinu zetu za ndani badala ya kukimbilia chanjo ambazo hatuna uhakika nazo.

Hata kuku wa kienyeji kinga yake ni tofauti na kuku wa kisasa kama unabisha waulize wafugaji watakuelimisha.

Maendeleo hayana vyama!
Kwasasa Nchi ina Changamoto ya upungufu wa Madarasa, upatikanaji wa maji upungufu wa Matundu ya vyoo na Changamoto hii ni yamiaka ming sanaa miaka60 ya Uhuru bado tunaongelea hizo changamoto Halafu Anatokea Mjinga Mmoja Anasema eti Rais aongezewe muda hata kama hatak Alazimishwe!
 
Ingekua vyema kama kwenye border kungekua na ukaguzi mkali leo hii magonjwa kama
UTI
TYPHOD
AMOEBA

Na mengine mengi yasingekua bongo kwani haya yote yaliletwa.
Wizara ya afya badala ya kutenga budget kubwa za madawa ingewaza upande wa pili wa jinsi ya kutokomeza baadhi ya maradhi kama Malaria

Sidhani kama budget ya kufanya famigation kuua mazalia ya mbu ni kubwa kama budget ya kununua dawa za Malaria

Sidhani kama budget ya ku’treat’ maji kuua mazalia ya Typhod na Amoeba ni kubwa kama kununua Dawa na sindano za kutibu hayo magonjwa

Miti shamba ni jambo zuri lakini tukae kujua kwamba miti shamba reaction yake kwa magonjwa huchukua muda kutibu kulinganisha na dawa na sindano

Pia kuna baadhi ya magonjwa huwezi kutikwa miti shamba i.e mgonjwa kuhutaji oxygen

Serikali ianze kua na vipaumbele vya kutokemeza haya magonjwa sumbua kama Malaria. Toka unazaliwa mpaka unakufa unasikia kila siku Malaria ni mbaya Malaria inaua
 
Mkuu kwa kweri ujinga mzigo kama wa kuni tu. Yote hubebwa kichwani.
Yaani imekuwa kero sasa!!kila akisemacho meko, sasa kinakuwa kama msahafu?!!japo hata kwenye misahafu kuna watu wanadiriki hata kuhoji!!mfano hilo la huyo daktari wa tabora, imeshakuwa sasa ni laana kwa taaluma nzima ya udaktari, ina maana ni madaktari tu, ndio wenye shida hiyo??taaluma gani ambako hakuna watu waluokimbilia sekta binafsi?lakini nani wa kuhoji hilo!?WAKENYA wana matatizo yao mengine tu lakini mambo haya wasingekubali!!yaani kipindi hiki hata waganda, wametupita!!
 
Kwenye asili ninakubaliana na wewe kabisa. Nimeanxa muda kama 2 yrs serious mahali pa ninakuta mbona sikuweza mapema. Yaani home Nina mimes kadhaa ninabafilisha tu kama mboga. Hutajutia. Mimi limao/ndimu, tangawizi, swaumu, mchaichai, Mdalasini, black pepper, mint, longevity spinach, mlonge, sweet basilia, turmeric, rosemary n.k nimeanza kutumia kabla hata ya Korona. Hasa limao/Ndimu, tangawizi, swaumu ni mara kwa mara.
 
Kwenye asili ninakubaliana na wewe kabisa. Nimeanxa muda kama 2 yrs serious mahali pa ninakuta mbona sikuweza mapema. Yaani home Nina mimes kadhaa ninabafilisha tu kama mboga. Hutajutia. Mimi limao/ndimu, tangawizi, swaumu, mchaichai, Mdalasini, black pepper, mint, longevity spinach, mlonge, sweet basilia, turmeric, rosemary n.k nimeanza kutumia kabla hata ya Korona. Hasa limao/Ndimu, tangawizi, swaumu ni mara kwa mara.

Unajua vina ya afya wanapiga je pesa?

Wauguao ni wachache sana kuliko wanaougua.

Pana watu wapo kwa hata miaka zaidi ya 10 hawajaugua wala kutumia dawa yoyote. Je nao unapendekeza waanze kupiga debe kuachana na mambo ya tiba kabisa?

Mkuu usitukane mamba. Changamoto za kupumua zinahitaji ventilator!

Kwenye tiba asikilize mnazo?
 
Anachokisema Rais Magufuli ni kwamba Watanzania tusipaparikie chanjo bali tuimarishe kinga zetu kwa kutumia tiba na njia za asili ambazo zimekuwepo kwa muda mrefu.

Nijuavyo mimi kitengo cha utafiti wa tiba za asili kimekuwepo tangu 1971 kabla hata ya hii NIMR iliyoasisiwa miaka ya 1980s na dawa za asili zimeponya na kuimarisha kinga za watanzania wengi.

Nakubaliana na Rais Magufuli kwamba tuchukue tahadhari kwa mbinu zetu za ndani badala ya kukimbilia chanjo ambazo hatuna uhakika nazo.

Hata kuku wa kienyeji kinga yake ni tofauti na kuku wa kisasa kama unabisha waulize wafugaji watakuelimisha.

Maendeleo hayana vyama!
Sawa.....ila mtumie kwa step syo kila ukiambiwa twanga hiki au kile saga kunywa utakuja kushindwa kwenda chooni

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Yaani imekuwa kero sasa!!kila akisemacho meko, sasa kinakuwa kama msahafu?!!japo hata kwenye misahafu kuna watu wanadiriki hata kuhoji!!mfano hilo la huyo daktari wa tabora, imeshakuwa sasa ni laana kwa taaluma nzima ya udaktari, ina maana ni madaktari tu, ndio wenye shida hiyo??taaluma gani ambako hakuna watu waluokimbilia sekta binafsi?lakini nani wa kuhoji hilo!?WAKENYA wana matatizo yao mengine tu lakini mambo haya wasingekubali!!yaani kipindi hiki hata waganda, wametupita!!
Kwani taaluma nyingine nao wanapata mikopo 100%?
 
Wazo zuri sana!
Ingekua vyema kama kwenye border kungekua na ukaguzi mkali leo hii magonjwa kama
UTI
TYPHOD
AMOEBA

Na mengine mengi yasingekua bongo kwani haya yote yaliletwa.
Wizara ya afya badala ya kutenga budget kubwa za madawa ingewaza upande wa pili wa jinsi ya kutokomeza baadhi ya maradhi kama Malaria

Sidhani kama budget ya kufanya famigation kuua mazalia ya mbu ni kubwa kama budget ya kununua dawa za Malaria

Sidhani kama budget ya ku’treat’ maji kuua mazalia ya Typhod na Amoeba ni kubwa kama kununua Dawa na sindano za kutibu hayo magonjwa

Miti shamba ni jambo zuri lakini tukae kujua kwamba miti shamba reaction yake kwa magonjwa huchukua muda kutibu kulinganisha na dawa na sindano

Pia kuna baadhi ya magonjwa huwezi kutikwa miti shamba i.e mgonjwa kuhutaji oxygen

Serikali ianze kua na vipaumbele vya kutokemeza haya magonjwa sumbua kama Malaria. Toka unazaliwa mpaka unakufa unasikia kila siku Malaria ni mbaya Malaria inaua
 
Kwani taaluma nyingine nao wanapata mikopo 100%?
Wewe umezaliwa lini mkuu?kabla ya kuanzishishwa bodi ya mikopo , kila mwanafunzi aliyekuwa na sifa za kujiunga chuo kikuu(mlimani)alikuwa anapata ufadhiri wa serikali asilimia 100!!au hilo hulijui?na hata kipindi cha bodi ya mikopo hapo awali mbona fani ya ualimu walikuwa wanapata mikopo asilimia mia??
 
Back
Top Bottom