johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,543
- 141,351
Anachokisema Rais Magufuli ni kwamba Watanzania tusipaparikie chanjo bali tuimarishe kinga zetu kwa kutumia tiba na njia za asili ambazo zimekuwepo kwa muda mrefu.
Nijuavyo mimi kitengo cha utafiti wa tiba za asili kimekuwepo tangu 1971 kabla hata ya hii NIMR iliyoasisiwa miaka ya 1980s na dawa za asili zimeponya na kuimarisha kinga za watanzania wengi.
Nakubaliana na Rais Magufuli kwamba tuchukue tahadhari kwa mbinu zetu za ndani badala ya kukimbilia chanjo ambazo hatuna uhakika nazo.
Hata kuku wa kienyeji kinga yake ni tofauti na kuku wa kisasa kama unabisha waulize wafugaji watakuelimisha.
Maendeleo hayana vyama!
Nijuavyo mimi kitengo cha utafiti wa tiba za asili kimekuwepo tangu 1971 kabla hata ya hii NIMR iliyoasisiwa miaka ya 1980s na dawa za asili zimeponya na kuimarisha kinga za watanzania wengi.
Nakubaliana na Rais Magufuli kwamba tuchukue tahadhari kwa mbinu zetu za ndani badala ya kukimbilia chanjo ambazo hatuna uhakika nazo.
Hata kuku wa kienyeji kinga yake ni tofauti na kuku wa kisasa kama unabisha waulize wafugaji watakuelimisha.
Maendeleo hayana vyama!