Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mmegeuka kama watoto wadogo kwenye game la siasa za Bongo. Kila kukicha mnaleta stori za ajabu kuwa uchaguzi uliopita mlibagazwa sababu kulikuwa na faulo. Lakini hamtaki kuweka ukweli kuwa CHADEMA ilikuwa imekataliwa na Watanzania toka mwaka 2015 baada ya kufanya utapeli na kumpa ridhaa Edward Lowasssa awe Mgombea wenu.
Sasa Halima Mdee na wenzake 19 amewafanya kitu mbaya na aibu kubwa sana kwenu. Maana tayari ameshapiga goli la mkono na mmebaki mnaduwaa huku Mwenyekiti wenu akijua kila mchongo, Katibu wenu akibariki goli la mkono.
Nini kuanza kujifaraghua kuwa sasa siasa za Bongoland hazina utamu kisa tu kwenye ramani mmepotea?
Sasa Halima Mdee na wenzake 19 amewafanya kitu mbaya na aibu kubwa sana kwenu. Maana tayari ameshapiga goli la mkono na mmebaki mnaduwaa huku Mwenyekiti wenu akijua kila mchongo, Katibu wenu akibariki goli la mkono.
Nini kuanza kujifaraghua kuwa sasa siasa za Bongoland hazina utamu kisa tu kwenye ramani mmepotea?