Sababu 5 kwanini Afrika haina vifo vingi vya Corona kama ilivyo US, Ulaya na Asia

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,386
73,978
By Anne Soy
BBC Senior Africa correspondent

Nadhani sababu namba tatu na Nne zimetusaidia zaidi: Kun literature ya kutosha kuhusu hizo point mbili na siyo sala za Mungu na kujifukiza

So what are some of the reasons for Africa's relatively low death rate

Coronavirus in Africa: Five reasons why Covid-19 has been less deadly than elsewhere

Many African countries have been praised for waging an effective campaign to combat the spread of coronavirus despite their reputation for having fragile state health systems.

The continent, which has a population of more than one billion, has had about 1.5 million cases, according to data compiled by the John Hopkins University.

These figures are far lower than those in Europe, Asia or the Americas, with reported cases continuing to decline.

Africa has recorded about 37,000 deaths, compared with roughly 580,000 in the Americas, 230,000 in Europe, and 205,000 in Asia.

"The case-fatality ratio (CFR) for Covid-19 in Africa is lower than the global CFR, suggesting the outcomes have been less severe among African populations," noted a recent continental study by Partnership for Evidence-based Response to Covid-19 (PERC), which brings together a number of private and public organisations.

Low testing rates continue to undermine the continental response however, there is no indication that a large number of Covid-19 deaths have been missed, said Dr John Nkengasong, the head of Africa Centres for Disease Control and Prevention (Africa CDC).

So what are some of the reasons for Africa's relatively low death rate?

1: Quick action​

The first case on the continent was confirmed in Egypt on 14 February. There were fears that the new virus could quickly overwhelm largely fragile health systems on the continent.

So, right from the beginning, most African governments took drastic measures to try and slow the spread of the virus.

Public health measures - including avoiding handshakes, frequent hand-washing, social distancing and wearing of face masks - were swiftly introduced.

Some countries - like Lesotho - acted even before a single case was reported.

It declared an emergency and closed schools on 18 March, and went into a three-week lockdown about 10 days later in unison with many other southern Africa states.

But only days after the lockdown was lifted - in early May - did Lesotho find its first confirmed cases. In a population of more than 2 million, it has so far recorded about 1,700 cases and 40 deaths.

2: Public support​

In a survey conducted in 18 countries in August by PERC, public support for safety measures was high - 85% of respondents said they wore masks in the previous week.

"With strict public health and social measures implemented, African Union member states were able to contain the virus between March and May," the report said.

It added that "minor loosening [of restrictions] in June and July coincided with an increase in the reported cases across the continent".

Since then, there has been a notable drop in the number of confirmed cases and deaths in about half of the continent, possibly linked to the end of the southern hemisphere winter (see below).

The implementation of the restrictions came at a huge cost. Livelihoods were lost on a large scale. South Africa - which had one of the most stringent lockdowns in the world - lost 2.2 million jobs during the first half of the year.

More and more countries have been forced to re-open their economies even though the number of cases is much higher than when they ordered the shutdowns.

According to the PERC report, public opinion about re-opening the economy was mixed - six in 10 respondents said economies needed to re-open, and believed that the risk of getting Covid-19 was minimal if social distancing rules were followed.

However, seven in 10 said that thinking about resuming normal activities made them feel anxious.

"The data suggests that people across the AU see Covid-19 as a serious threat, but for many, the economic and social burdens outweigh their personal risk perception of catching the virus," concluded the report.

3: Young population - and few old-age homes​

The age of the population in most African countries is also likely to have played a role in containing the spread of Covid-19.

Globally, most of those who have died have been aged over 80, whileAfrica is home to the world's youngest population with a median age of 19 years, according to UN data.

"The pandemic has largely been in younger age groups... about 91% of Covid-19 infection in sub-Saharan Africa are among people below 60 years and over 80% are asymptomatic," said the World Health Organization (WHO).

"We have [in Africa] about 3% of the population aged over 65 years," sad Dr Matshidiso Moeti, the WHO Africa head.

In comparison, Europe, North America and wealthier Asian countries have the oldest inhabitants.

"One of the big drivers in Western countries is that the elderly people were living in specialized homes and these became places where the transmission was very intense," Dr Moeti added.

These homes are rare in most African countries, where older people are more likely to be living in rural areas.

It is the norm in many African countries for people to return to their rural homes when they retire from employment in urban areas.

The population density in rural areas is lower and therefore maintaining social distance much easier.

Furthermore, an underdeveloped transport system within and between countries appears to have been a blessing in disguise. It means that Africans do not travel as much as people do in more developed economies, minimising contact.

4: Favourable climate​

A study conducted by researchers in the University of Maryland in the US found a correlation between temperature, humidity and latitude, and the spread of Covid-19.

"We looked at the early spread [of the virus] in 50 cities around the world. The virus had an easier time spreading in lower temperatures and humidity," said Mohammad Sajadi, the lead researcher.

"Not that it doesn't spread in other conditions - it just spreads better when temperature and humidity drop."

African countries away from the tropics have been worse off.

The spread of the virus accelerated in South Africa as the southern hemisphere went into winter.

But as it became warmer, the number of cases dropped significantly, impacting the continental outlook, as South Africa accounts for almost half the total number of cases and deaths on the continent.

5: Good community health systems​

The Covid-19 pandemic came at a time when the Democratic Republic of Congo was dealing with its biggest outbreak of Ebola yet. Neighbouring states were on high alert, and the health screening of travellers for Ebola was extended to include Covid-19.

Several West African states - which battled the world's worst ever outbreak of Ebola from 2013-16 - had also mastered the public health measures that have been used to prevent Covid-19, including isolating the infected, tracing their contacts and then getting them quarantined while they get tested.

Furthermore, in Africa's most populous state, Nigeria, teams that had been going into villages to vaccinate children against polio were quickly re-purposed to educate communities about the new pandemic.

This is a point that Dr Rosemary Onyibe, who had been working on the polio eradication programme, made in April:

"Once I heard the news, I instantly thought: duty is calling. My expertise is needed to serve my community.

"We immediately mobilized the existing polio personnel, tracking contacts and conducting follow-up visits."

So, while hospital infrastructure in much of Africa is less developed than in other parts of the world, the continent's strength lay in its tried and tested community health systems.

But all this doesn't mean that people in Africa can afford to relax.

"The slower spread of infection in the region means we expect the pandemic to continue to smoulder for some time, with occasional flare-ups," Dr Moeti said.
 
Kuna ndugu yako yeyote yule ambayo amefariki kwa Corona??
Tunatishana Sana uku kwa mitandao,
Ukweli ugonjwa upo ni wajibu wa kila mtu kuchukua hatua, lkn sio vitisho mnavyotoa mitandaoni haiko kiivyo aiseeh,
Ktk ili nampongeza Sana raia namba moja wa nchi yetu
Africa hatuna proper record mkuu.....watu tunakufa sana na hiyo kitu na no one cares.Mfano halisi ni hii Nemonia ya bongo.
 
Kuna ndugu yako yeyote yule ambayo amefariki kwa Corona??
Tunatishana Sana uku kwa mitandao,
Ukweli ugonjwa upo ni wajibu wa kila mtu kuchukua hatua, lkn sio vitisho mnavyotoa mitandaoni haiko kiivyo aiseeh,
Ktk ili nampongeza Sana raia namba moja wa nchi yetu
Tayar tumepoteza wa tatu ndani ya week 2 mmoja kesho ndo tunamzika.
 
Kilichoisaida Afrika ku survive ni kuwa Africa wananchi wake weshazoea ku survrvive magonjwa bila hata hospitali, kwa hiyo wananchi waliopo ni kama sugu vile

kam ni lmate na young population mbona nchi kama Brazil ina climate na young population kama nchi nyingi za africa na kuna vifo vingi tu?

hizo ababu nyingine zote zilizobaki kama quick action sio kweli kwani nchi kma tz hatujachukua hata action zozote serious na tupo na few deaths
 
Kuna ndugu yako yeyote yule ambayo amefariki kwa Corona??
Tunatishana Sana uku kwa mitandao,
Ukweli ugonjwa upo ni wajibu wa kila mtu kuchukua hatua, lkn sio vitisho mnavyotoa mitandaoni haiko kiivyo aiseeh,
Ktk ili nampongeza Sana raia namba moja wa nchi yetu
Nimetoka MZRH, Mbeya, dada yangu yuko mahututi anapumulia mashine ya Oxygen, ni wiki la tatu sasa; tumemwachia Mungu. Covid-19 ni habari nyingine ndugu.
 
Africa ndio kuna waenda kusali wengi na waomba Mungu sana wengi huko kwingine wamemtelekeza Mungu
 
Ila wanashindwa kuomba umaskini utoweke!
wameridhika na maisha wanayoishi ndio maana hawaombi.Wewe waweza waona maskini wao wala hawajioni hivyo .Mfano masai mwenye ng`ombe elfu moja kila ng`ombe mmoja bei ya wastani mnadani milioni moja akiuza hao ng`ombe anaingiza shilingi bilioni moja!! Lakini unakuta anajivalia makobasi anaishi nyumba ya udongo karidhika na hahitaji maombi ya kuondoa huo unaoita wewe umaskini!!! UKimwita maskini aweza kukuzaba hata makofi yeye anajijua ni tajiri

Utajiri wa wazungu ni tofauti na utajiri wa kiafrika kimitizamo.Waafrika utajiri ni kuwa na kwako haijalishi kwako kukoje ila uwe na kwako pili uwe na chakula na tatu watoto wengi hapo amemaliza swala la sijui asome sana sio wengi sana wanataka hayo sijui amiliki gari huko hawako wakati kwa mzungu sababu wengi hawana hata pa kulala utajiri unapimwa kwa kipato cha pesa kwa siku anachopata mtu!! Sisi huku mtu aweza asiwe hata na shilingi mia mfukoni akaishi mwezi mzima bila shida sababu ana shamba lake anakula vya shambani mwake alikojilimia!! Ukienda kwa huyo mtu ukasema aombe umaskini umtoke hakuelewi hata unachoongea sababu ana pa kulala na ana chakula chake haombi kwa mtu

Hizo mentality zako zimekuwa affected na mentality za kizungu!!!
 

Attachments

  • FB_IMG_1612615604899.jpg
    FB_IMG_1612615604899.jpg
    27.7 KB · Views: 1
bullsh!t, kilichoisaida Africa ku survive ni kuwa Africa wananchi wake weshazoea ku survrvive magonjwa bila hata hospitali, kwa hiyo wananchi waliopo ni kama sugu vile

kam ni lmate na young population mbona nchi kama Brazil ina climate na young population kama nchi nyingi za africa na kuna vifo vingi tu?

hizo ababu nyingine zote zilizobaki kama quick action sio kweli kwani nchi kma tz hatujachukua hata action zozote serious na tupo na few deaths
climate inaweza, kuna literature ya kutosha kuhusu hilo, anyway more research is needed...
SARS viruses ina include i.e iko jamii moja na mafua ya kawaida, hicyo inawezekana kuna crosss reacting antigens to create a reservoir of antibodies against corona virus. Kumbuka wazungu wanakufa hata mafua ya kawaida...
 
Vita vya kiuchumi
Uchumi gani Western Europe na US watapigana na Tanzania? hawa kweli wana vita gani na sisi?

GDP in Tanzania is expected to reach 50.00 USD Billion by the end of 2020, according to Trading Economics global macro models and analysts expectations. In the long-term, the Tanzania GDP is projected to trend around 55.00 USD Billion in 2021 and 62.00 USD Billion in 2022, according to our econometric models

$20.8 trillion

Economy of the United State
s

CountryGDP total (PPP)GDP per capita (PPP)GDP total (nominal)GDP per capita (nominal)GiniHDI
Denmark$325.556 billion$56,412$362.150 billion$62,04128.10.929
Finland$252.753 billion$44,958$282.010 billion$50,87925.90.920
Iceland$26.674 billion$78,452$20.284 billion$79,27024.00.935
Norway$441.439 billion$80,247$448.460 billion$82,77322.30.953
Sweden$554.659 billion$54,759$563.240 billion$54,13525.40.933
 
Back
Top Bottom