Hatimaye nimetinga makwetu Ngara Kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka.
Safari yangu Toka Dar Kwa basi kama ilivyo Kwa miaka mingine hadi makwetu haikupungukiwa vimbembe, vibweka, udhalimu, manyanyaso, adha, na yote ya aina hiyo tokea kwa hawa mabwana: polisi ambao haijulikani kwa uhakika haki ya...