Tundu Lissu awajibu Polisi waliomfukuza kwenye mazishi ya Mzee Mkapa: Sisi si wachawi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272

Tundu Lissu baada kutua kwenye ardhi ya Tanzania alijawa na furaha ilichanganyika na huzuni, utamu na uchungu.

Hakutegemea idadi ya Watanzania waliokwenda kumpokea na mapenzi waliyomuonyesha hakutegemea na yalimfariji sana.

Uchaguzi mkuu huu utakua ni referendum juu ya miaka mitano ya Urais wa Magufuli. Maana ya yake ni kuwa akiwa na agenda ya kujenga miundo mbinu, tutamwambia Wajerumani walianza kujenga miundo awamu ya kwanza walifanya, awamu ya pili, awamu ya tatu na ya nne.

Amesema hayuko huru sana, kwani waliomdhuru bado wanaitwa watu wasiojulikana. Lakini anaamini ni jukumu la vyombo vya usalama kulinda raia wake.
 
Wajerumani walijenga simple miundombinu kuraisisha kuiba mali za nchi na kusafirisha kwao ikiwemo madini, wanyama, watumwa, katani, na mazao mengine tofauti ili wakajenge nchi yao. Almost nchi zote za ulaya zimejengwa na Rasilimali za afrika
 
Wajerumani walijenga simple miundombinu kuraisisha kuiba mali za nchi na kusafirisha kwao ikiwemo madini, wanyama, watumwa, katani, na mazao mengine tofauti ili wakajenge nchi yao. Almost nchi zote za ulaya zimejengwa na Rasilimali za afrika

Wameondoka hao wakoloni zaidi ya miaka 60 na kila kitu bado tunacho, mbona hatujaendelea kama wao, ili tujue kweli wao ndio walikuwa kikwazo cha maendeleo yetu? Hayo mashamba ya katani yalikuwa bora enzi zao, mbona saa hii ndio yamefubaa mpaka inatia aibu? Hizo treni walizoacha ndio hizo zinafanya kazi kwa ufanisi duni.
 
Wameondoka hao wakoloni zaidi ya miaka 60 na kila kitu bado tunacho, mbona hatujaendelea kama wao, ili tujue kweli wao ndio walikuwa kikwazo cha maendeleo yetu? Hayo mashamba ya katani yalikuwa bora enzi zao, mbona saa hii ndio yamefubaa mpaka inatia aibu? Hizo treni walizoacha ndio hizo zinafanya kazi kwa ufanisi duni.
tindo, hawa Lumumba watakusumbua! wana extremely shallow reasoning! Wazungu walikuwepo na tulikuwa less than 10 milliion! Walichokijenga wakati ule kilikidhi mahitaji wa wakati ule! Ndiyo maana mtu wa darasa la nane ana uelewa kuliko University graduate wa sasa! Elimu yao ilikidhi mahitaji wa wakati ule! We are 60 millions, kinachofanywa na hawa wenzetu marais wetu ni chini sana ya uhitaji wetu wa leo! ya digital world!
 
Back
Top Bottom