Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,817
Lamgambo limelia jamani, wamesikia wa ng'ambo, mwenye kukosa mtoto ama lieleke jiwe. Aliimba hayati Captain John Komba.
Tumesikia ngurumo na mipasuko ya radi kutoka mbali, kuwa shujaa wa Taifa yu aja.
Hii ni baada ya kukaa nje ya nchi kwa miaka mitatu. Aliondoka katika Hali ya ufu, anarudi akiwa vizuri zaidi ki afya, akili na kimtazamo, tayari kuichukua nchi kutoka kwa Mkoloni wa Kolomije.
Polisi wameutahadharisha umma wa Tanzania 🇹🇿 kuwa wasijaribu kuusogelea uwanja wa ndege wala kuukaribia ili Tundu Lissu asipate mapokezi ya heshima.
Polisi wameamua kutumia nguvu, mabavu na silaha za Moto kupambana na wafuasi wa Tundu Lissu watakaojitokeza uwanjani.
Abiria watakaoshuka happy uwanjani ni wengi, si Tundu Lissu peke Yake. Kuna wageni wanaokuja msibani, kuna wageni wa kifamilia, watalii etc
Je, hawa wote haki yao ya kupokelewa inaondolewa sababu ya mtu mmoja tu Tundu Lissu? Hivi mbona mnataka kulitia aibu Taifa letu?
Polisi, swallow your pride, be humble and diplomatic.
Imarisheni ulinzi, acheni Tundu Lissu apokelewe kwa amani, na sisi wengine tupige wageni wetu kwa amani.
Actions speak louder than words. Wageni wakiiona amani kwa vitendo wataenda kusimulia kwao.
Pia wakiiona vurugu ndio kitu watakachoondoka nacho, kuwa Tanzania ni nchi ya vurugu tu
Tumesikia ngurumo na mipasuko ya radi kutoka mbali, kuwa shujaa wa Taifa yu aja.
Hii ni baada ya kukaa nje ya nchi kwa miaka mitatu. Aliondoka katika Hali ya ufu, anarudi akiwa vizuri zaidi ki afya, akili na kimtazamo, tayari kuichukua nchi kutoka kwa Mkoloni wa Kolomije.
Polisi wameutahadharisha umma wa Tanzania 🇹🇿 kuwa wasijaribu kuusogelea uwanja wa ndege wala kuukaribia ili Tundu Lissu asipate mapokezi ya heshima.
Polisi wameamua kutumia nguvu, mabavu na silaha za Moto kupambana na wafuasi wa Tundu Lissu watakaojitokeza uwanjani.
Abiria watakaoshuka happy uwanjani ni wengi, si Tundu Lissu peke Yake. Kuna wageni wanaokuja msibani, kuna wageni wa kifamilia, watalii etc
Je, hawa wote haki yao ya kupokelewa inaondolewa sababu ya mtu mmoja tu Tundu Lissu? Hivi mbona mnataka kulitia aibu Taifa letu?
Polisi, swallow your pride, be humble and diplomatic.
Imarisheni ulinzi, acheni Tundu Lissu apokelewe kwa amani, na sisi wengine tupige wageni wetu kwa amani.
Actions speak louder than words. Wageni wakiiona amani kwa vitendo wataenda kusimulia kwao.
Pia wakiiona vurugu ndio kitu watakachoondoka nacho, kuwa Tanzania ni nchi ya vurugu tu