Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,380
- 3,855
Yafuatayo yafanyike baada ya kutua uwanja wa ndege JKNIA
Kumnyang'anya passport ya kusafiria mara moja na jina lake liwe blacklisted kwenye mfumo wa waombaji Passport uhamiaji yaani yeye asije tena kupewa passport ya kusafiria maisha yake yote
Uchunguzi wa shambulio lake uanze Mara moja siku hiyo hiyo maafisa wa vyombo vya dola wamuweke kizuizini mpaka dereva wake aje ili utaratibu wa kisheria wa kesi yake uanze
Kwa sababu alikuwa na kesi mahakamani na hajatii masharti ya dhamana na yeye ni mwanasheria na anajua athari za kuruka dhamana basi aende mahabusu mpaka kesi yake itakapoisha
Dola ikiamuru Chama cha CHADEMA kumvua uongozi alionao Mara moja kwa sababu uongozi wa chama cha siasa ni Mali ya umma kwa hiyo yeye ni kiongozi wa umma na amekiuka masharti ya viongozi wa watumishi wa umma
Kumnyang'anya passport ya kusafiria mara moja na jina lake liwe blacklisted kwenye mfumo wa waombaji Passport uhamiaji yaani yeye asije tena kupewa passport ya kusafiria maisha yake yote
Uchunguzi wa shambulio lake uanze Mara moja siku hiyo hiyo maafisa wa vyombo vya dola wamuweke kizuizini mpaka dereva wake aje ili utaratibu wa kisheria wa kesi yake uanze
Kwa sababu alikuwa na kesi mahakamani na hajatii masharti ya dhamana na yeye ni mwanasheria na anajua athari za kuruka dhamana basi aende mahabusu mpaka kesi yake itakapoisha
Dola ikiamuru Chama cha CHADEMA kumvua uongozi alionao Mara moja kwa sababu uongozi wa chama cha siasa ni Mali ya umma kwa hiyo yeye ni kiongozi wa umma na amekiuka masharti ya viongozi wa watumishi wa umma