RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Kadri Uchaguzi Mkuu unavyaokaribia, ndivyo Jeshi la Polisi linavyozidi kujinasibisha na Chama cha Mapinduzi, (CCM)
Kwa kuwa CCM hakiungwi mkono tena na umma bali ni mwanasesere aliyebebwa kwa mbeleleko ya chuma, Watanzania tusimame kwa pamoja na kwa umoja kulinda thamani ya kura zetu
Tumkatae Jiwe na vikaragosi vyake kwa kupiga kwa wingi na kulinda ushindi.
Kwa kuwa CCM hakiungwi mkono tena na umma bali ni mwanasesere aliyebebwa kwa mbeleleko ya chuma, Watanzania tusimame kwa pamoja na kwa umoja kulinda thamani ya kura zetu
Tumkatae Jiwe na vikaragosi vyake kwa kupiga kwa wingi na kulinda ushindi.