pesa

  1. Benki ya Maendeleo Afrika yatoa mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabara Kenya na Tanzania

    Watu zaidi ya milioni tatu katika nchi za Tanzania na Kenya, watanufaika na Euro milioni 345 kutoka Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) kusaidia ujenzi wa barabara. Barabara zitakazohusika ni za Mombasa-Lunga Lunga/Horohoro na Tanga-Pangani-Bagamoyo katika awamu ya kwanza, ikiwa ni asilimia 78.5...
  2. Kwaninini kila nikimutongoza mwanamke lazima watangulize pesa

    Kwema wanajf nashindwa kuelewa hivi vitu kwa wanawake wa sasa 1. Wengi wanatazama material things kama magari, uchawi wao ni magari yaan ukiwa na nyumba labda uibebe kichwani waone uko na nyumba au kiwanja/shamba. 2. Wengi wanatanguliza pesa sana yaani nimejaribu kwa madada wengi afu hii mi...
  3. Pesa 8 zenye nguvu Afrika

    Nguvu ya pesa hutambulika kwa vitu vingi ikiwemo upatikanaji na uzalishaji wake ( supply and demand ), nguvu za soko ndani ya nchi, mfumko wa bei na soko la ubadilishwaji pesa. Dola ya marekani huchukuliwa kuwa pesa yenye nguvu zaidi duniani hivyo katika upimaji wa pesa nyingine, tunaitumia...
  4. Polisi wa Mjini Eldoret wamekamata pesa za bandia kiasi cha Shilingi milioni 45.8

    Mkazi wa Kaunti ya Eldoret Bwana Allan Kipturo 34 amekamatwa na Polisi wa Mjini humo siku ya jumatatu baada ya kukutwa na kiasi cha shilingi milioni 45.8 za bandia.. Polisi walisema walimkamata Allan Kipruto, baada ya wananchi kuripoti kuwa na mashaka na biashara zinazofanywa na kijana huyo...
  5. Shida sio kuweka ndani wakandarasi. Mh Mbarawa hatuna wafuatiliaji mpaka pesa zinapekenywa?

    Wakati muafaka tuwe wazi wapendwa Namuona Mh Mbarawa ITV analaani mkandarasi kala bilioni tatu. Naomba tuwe wazi wapendwa hizi pesa hazijatoka kwa wakati mmoja kuna watu wamesaini kila baada ya muda. Sasa kama hilo ni tatizo shida sio kuweka ndani wakandarasi hao waliosaini pesa zitoke...
  6. K

    Sheria mpya za kutuma pesa kutoka nje zitapunguza mapato

    Diaspora wengi hasa wa US walikuwa wameanza kutuma pesa zaidi kwasababu ya urahisi wa kutuma pesa. Kwa kutumia hizi Apps. Lakini inaelekea Serikali imeonzeza sana sheria kiasi kwamba inaweza kufanya watu waache kutumia hizi app na kupunguza mapato makubwa kwa nchi. Maswali ya uraia, kutuma...
  7. Hii nyumba itanigharimu kiasi gani cha pesa?

    Wakuu salam kwenu. Nataka kuhamia kwenye kiwanja changu. Nia yangu ni kujenga vyumba viwili katika kona ya kiwanja changu kusudi tu nihamie ila hiyo nyumba ya ndoto yangu nijenge katika sehem iliyo baki. Kwa ujumla nataka mlango wa kuingilia uwe mmoja (sebleni)ambapo chumba cha masterbed...
  8. Mgogoro unaodaiwa kuwepo kati ya BOT na M-Pesa utaisha lini ili Templer for Empler Forex atumie M-Pesa?

    Wakuu huu ni mwezi wa pili kwa wale wanaotumia broker wa templer forex hawawezi kudiposit pesa kwa njia ya M-Pesa Tanzania Inasemekana kuna mgogoro mkubwa wa kampuni ya M Pesa na BOT Tafadhali BOT malizeni mgogoro wenu kwani biashara za mtandao zipo nyingi tu kwann mnaleta vurugu kwa mabroker?
  9. Serikali iwalipe pesa yao Strabag ili mradi wa barabara Isaka-Lusahunga kipande cha Nyakanazi-Lusahunga kikamilishwe

    Nipo safarini kurejea kwetu Cyangungu,Kamembe Rwanda lakini hii adha ya kipande cha barabara tajwa hapo juu ni kero! Toka juzi maroli yamekwama na njia mbadala imeharibika vibaya kwa sababu ya mvua na mkandarasi inadaiwa anadai pesa zake na amegoma kumalizia kipande kifupi tu cha km 5 hadI...
  10. Video inayosambaa ikionesha jinsi upigaji wa pesa za miradi unavyotokea

    Sijafanikiwa Kujua Ni Wilaya gani lakini huu ni ushahidi tosha kwamba Tanzania ufisadi bado upo
  11. L

    Tishio la pesa za digitali: Je, Serikali zitabaki na Bunduki tu?

    Wazee tunaikumbuka hii? Ilianza kama utani, c lakini sio utani kwa akili ya mwanzilishi mwenyewe wa pesa za digitali. Lengo la Satoshi Nakamoto mwanzilishi wa pesa ya digitali ya bitcoin ni kuleta dunia yenye pesa ambayo haiko chini ya chombo chochote au serikali duniani. Kusudi lingine ni...
  12. Ushauri: Sherehe mbalimbali za kitaifa zifanyike mikoa yote katika viwanja vya CCM, hii itasaidia pesa ya Serikali kutumika kuvikarabati

    Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati. Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali. Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja...
  13. Gesi yaokoa mamilioni ya pesa za madereva

    KUGUNDULIKA kwa gesi kwenye mikoa ya Kusini mwa nchi, kumeokoa fedha nyingi ambazo zilikuwa zikitumika kununua petroli na dizeli. Hayo yameelezwa na wafanyabiashara wa kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti. Mmoja wa watu hao ni dereva teksi aliyejitambulisha kwa jina moja...
  14. Igunga: Mwananchi amuomba Rais Magufuli ‘kuachia pesa’ mtaani, Rais ajibu hakuna vya bure zaidi ya kuchapa kazi

    Tangu Rais Magufuli aingie madarakani kumekuwa na malalamiko ya chinichini miongoni mwa Watanzania kuhusu hali ya kiuchumi kuwa ngumu. Ugumu huo ulizaa msemo ‘’vyuma vimekaza’’, jambo lililokemewa vikali na Mheshimiwa wa ngazi za juu. Sasa basi, kufuatia hali ya kiuchumi kuendelea kuwa ngumu...
  15. Tusichotambua wengi wetu ni kwamba pesa za mkopo inazokopa Serikali kwa ajili ya miradi mbalimbali ni pesa zetu

    Wengi wetu tumekuwa mabingwa wa kukejeli pale ambapo Serikali inapokopa pesa kwenye mabenki mbalimbali eti si pesa yetu ya ndani bali ni mkopo jambo ambalo si kweli! Ukweli ni kwamba pesa inayokopwa na Serikali hurejeshwa kwa wale waliotukopesha kwa makusanyo yetu ya kodi kwa makubaliano ya...
  16. Mwanamke aliyemuita Michelle Obama nyani ahukumiwa kwa kudanganya pesa ya kujikimu

    Denver Developer Pleads Guilty To Arson In Conjunction With Grove Street Fire DENVER – United States Attorney Jason R. Dunn announced that Michael Marte, age 54, of Denver, pleaded guilty today before U.S. District Court Judge William J. Martinez to one count of arson in connection with the...
  17. Pongezi kwa taasisi kutoa gawio, Je Rais aanzishe utaratibu sekta binafsi kuchangia kwa hiari? Atakusanya sana, japo wengine hoi, tutachagia tu

    Wanabodi, Hili ni bandiko la ushauri. Pongezi kwa taasisi kutoa gawio, Je Rais aanzishe utaratibu sekta binafsi Kuchangia kwa hiari? Atakusanya sana, japo wengine hoi, tutachagia tu. Kwanza natoa pongezi kwa taasisi kutoa gawio kwa serikali, ila pia naomba kukiri nimeumia kidogo, baada ya...
  18. Wauza mitumba vijijini, acheni tamaa ya pesa, muwe wakweli, hizi si Travolta

    Mnawauzia vijana winter boots za kike mkiwadanganya kuwa ni Travolta.
  19. Kwa wasio na familia tu: Okoa pesa yako, achana na fasheni kuiga iga

    Inaweza isiwe na umuhimu kwako kwa sababu umeshafanya makosa haya lakini naamini kama ungeyafahamu haya kabla ya kuchukua maamuzi uliyofanya nina uhakika leo hii ungekubaliana namimi kwa hiki ninachoenda kukisema. Siandiki nikiwa kama mtakatifu "hapana" naandika nikiwa kama muathirika mkubwa wa...
  20. Chukua tahadhari unapotoa pesa kwenye ATM, na kwa wakala, tapeli akamatwa na kadi 23 za benki

    Taarifa ya kukamatwa kwa mtuhumiwa wa wizi kwenye mashine za kutolea fedha benki (atm) mnamo tarehe 25/10/2019 katika kituo cha polisi Mbagala maturubai, mzee Ernest Mika Sakala, ambaye ni afisa mwandamizi mstaafu wa jeshi la polisi alitoa ripoti kwamba tarehe 23/10/2011 majira ya 10:00hrs...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…