Pesa 8 zenye nguvu Afrika

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,017
9,885
Nguvu ya pesa hutambulika kwa vitu vingi ikiwemo upatikanaji na uzalishaji wake ( supply and demand ), nguvu za soko ndani ya nchi, mfumko wa bei na soko la ubadilishwaji pesa.

Dola ya marekani huchukuliwa kuwa pesa yenye nguvu zaidi duniani hivyo katika upimaji wa pesa nyingine, tunaitumia kujua nguvu ya pesa nyingine.

1. Dinar ya Libya
Hii ndio pesa yenye nguvu zaidi afrika ukiangalia thamani yake dhidi ya dola ya marekani na nguvu yake ya kununua (purchasing power)
1$ = 1.38 dinar za Libya

1576657010833.png

2. Dinari ya Tunisia
Hii ni pesa ya pili kwa afrika
1$ = 3.05 Tunisian Dinari.
1576657084594.png


3. Cedis ya Ghana
Ghana ni nchi pekee ya afrika magharibi ambayo ipo kweny nane bora ya nchi nane zenye pesa yenye nguvu afrika

1$ = 5.50 Ghana cedis
1576657112028.png


4. Dinar ya Morocco
1$ = 9.55 Moroccan dinar
1576657137981.png


5. Pula ya Botswana
Pesa ya Botswana inaitwa pula. Iliwekwa ili kuichukua nafasi ya Rand ya Afrika ya Kusini

$ 1 = 10.60 pula
1576657177339.png

6. Kwacha ya Zambia
Hii ni pesa ya Zambia ambayo ilichokua nafasi ya Paundi ya Zambia.
$ 1 = 11.98 kwacha
1576657205936.png

7. Lilangeni ya Swazi
$ 1 = 13.99 lilangeni

1576657249981.png


8. The South African Rands
South African rand ilichukua nafasi ya South African pound.

$ 1 = 14.18 rands
1576657275494.png
 
Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.
 
Kwacha tangu lini ? Hii mbona Kali sababu fedha yao ilijuwa ovyo sana kulinganisha na Shilingi ya Tanzania
Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazambia walifuta sifuri kadhaa kutoka kwenye Kwacha yao.

Hilo linakuonesha kwamba, thamani ya pesa haina maana ya uchumi mzuri.

Hata sisi tunaweza kuondoa sifuri tatu kwenye shilingi yetu, dola moja ya kimarekani iwe shilingi mbili na ushee.

Tunaweza kufanya hilo leo.

Lakini, hilo halitamaanisha kuwa uchumi wetu utaimarika mara elfu.
 
Hakuna Nchi kwa upande wa fedha yake naikubali Kama Zambia. Sijui wametumia Effort gani kubadii kutoka Kuwa pesa ya thamani ya Chini mpaka ubora huo.
Maana Kwacha ilikuwa mara mia kabisa TZS.
Lakini toka akamate Nchi Lungu, Mambo yanaenda Mswano kwa Ustable wa Currency yao. Tanzania CCM ndiyo Shida.
Kwacha imekuwaje na thamani kubwa cku izi? Wanatumia mechanism gn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom