Cyangungu
Member
- Nov 7, 2019
- 45
- 54
Wengi wetu tumekuwa mabingwa wa kukejeli pale ambapo Serikali inapokopa pesa kwenye mabenki mbalimbali eti si pesa yetu ya ndani bali ni mkopo jambo ambalo si kweli!
Ukweli ni kwamba pesa inayokopwa na Serikali hurejeshwa kwa wale waliotukopesha kwa makusanyo yetu ya kodi kwa makubaliano ya muda waliokubaliana.
Kwa muktadha huo Serikali inapojinasibu kwamba inatekeleza miradi yake kwa pesa za ndani ni kweli na hakika wanafanya hivyo
Shime wa Tanzania tusipende kubeza kwa hata ambayo hatuna ukweli na hakika kwalo.
Ukweli ni kwamba pesa inayokopwa na Serikali hurejeshwa kwa wale waliotukopesha kwa makusanyo yetu ya kodi kwa makubaliano ya muda waliokubaliana.
Kwa muktadha huo Serikali inapojinasibu kwamba inatekeleza miradi yake kwa pesa za ndani ni kweli na hakika wanafanya hivyo
Shime wa Tanzania tusipende kubeza kwa hata ambayo hatuna ukweli na hakika kwalo.