scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,667
- 925
Wakuu huu ni mwezi wa pili kwa wale wanaotumia broker wa templer forex hawawezi kudiposit pesa kwa njia ya M-Pesa Tanzania
Inasemekana kuna mgogoro mkubwa wa kampuni ya M Pesa na BOT
Tafadhali BOT malizeni mgogoro wenu kwani biashara za mtandao zipo nyingi tu kwann mnaleta vurugu kwa mabroker?
Inasemekana kuna mgogoro mkubwa wa kampuni ya M Pesa na BOT
Tafadhali BOT malizeni mgogoro wenu kwani biashara za mtandao zipo nyingi tu kwann mnaleta vurugu kwa mabroker?