nyumba

  1. P

    House4Rent Nyumba inapangishwa Goba

    NYUMBA INAPNGISHWA Mahali: Goba center Namba ya vyumba: nyumba ina vyumba vitatu(viwil self contained rooms), jiko, mahali pa kulia chakula na sebule Umbali: Nyumba ipo Mita 500 kutoka barabara ya Goba road Huduma: Nyumba ina luku na maji binafsi Bei: 600,000 Mawasiliano: 0629615557 Case: 33A...
  2. P

    House4Rent Nyumba inapangishwa Boko

    NYUMBA INAPANGISHWA Mahali: Boko kwa mpemba Namba ya vyumba: nyumba ina vyumba viwili (kimoja ni master bedroom), sebule, jiko ndani na nje, Choo cha jumuiya ndani na nje, stoo na mahali pa kupumzka. Huduma: maji, umeme na AC Nyumba ina umbali wa mita 300 kutoka Bagamoyo road. Bei: 500,000/=...
  3. YEHODAYA

    Umasikini wa Watanzania chanzo chake ni kupenda kujenga nyumba ya kuishi kwanza badala ya kuanzisha biashara

    Hakuna watu wanapenda kujenga nyumba za kuishi duniani kama Watanzania. Ndoto kuu ya kwanza ya Mtanzania yeyote ngozi nyeusi ni kuwa na kwake hivyo akipenda vihela huvipeleka site kujenga nyumba ya kuishi hapa ndio siri ya umasikini wa Watanzania ngozi nyeusi kuanzia. Wenzetu Wahindi...
  4. J

    Je, ipi ni nafasi ya dalali kwenye upangishaji wa nyumba?

    Upangishaji wa nyumba au chumba unaendeshwa na Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999 , ambapo sheria hiyo imetaja wahusika wawili tu katika upangishaji. Wahusika hao ni mpangaji na mpangishaji, sheria hii haijataja nafasi ya dalali, hivyo dalali anakuwepo kwa makubaliano kati ya mpangishaji au...
  5. Magari ya Biashara

    House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  6. Yoranda

    Ukijengea nyumba kwa hela ya kuhemea ni ujinga

    Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, Je anatesaje wanae? Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
  7. Sky Eclat

    Huduma ya kupangisha nyumba zenye samani ni chache Tanzania

    Nyumba yenye samani zote (full furnished house) ni inayokuja kwa kasi Tanzania. Samani za muhimu ni kitanda na godoro, kabati la nguo lenye kioo, chumbani. Jikoni ni jiko, fridge, washing machine, kettle, sufuria sahani na vyombo vya kulia. Sebuleni sofa na TV. Kwa sasa pango la nyumba hizi...
  8. Mkogoti

    Baba Mwenye Nyumba ana ujumbe gani kwangu?

    Nilikuwa Nacheck game ya Simba kwa baba mwenye Nyumba ambaye ni shabiki wa Utopolo FC. Nimeshindwa kushangilia maana baada ya goli nimeonekana na uso wa tabasamu, Mara nikamwona kasimama kaingia chumbani na kurudi na karatasi na kalamu Sijui alikuwa anataka kubeti lakini anasema ana ujumbe...
  9. I

    Mtaalam wa kukata miti pembeni ya nyumba anahitajika

    Wana Jf, Ninahitaji mtaalam ambaye anauwezo wa kukata miti iliyooitiliza urefu pembeni ya nyumba mi ashoki imekuwa mirefu unajua iko pembeni ya nyumba inahitaji utaalam naomba mwenye ujuzi huo napatikana Tabata Kinyerezi tuwasiliane anifanyie hiyo kazi.
  10. F

    House4Sale Nyumba inauzwa Mkuranga Mjini

    Ipo mkuranga mjini km moja toka barabara kuu ina vyumba vitatu kimoja master bedroom ina umeme maji mawasiliano 0655204110 na 0699492380.
  11. C

    Changamoto ya Sisimizi wekundu Ndani ya Nyumba

    Imekua kero sasa, maana hawa wadudu wanasumbua sana. Je, nitumie dawa gani, kuondoa uwepo wao au kuwaangamiza.
  12. mkenya wa kova

    Tunatengeneza urembo safi wa nyumba kama inavyoonekana katika hizi picha

    Ni mtaalam wa finishing ya urembo wa nyumba tunapatikana kote Tanzania na Kenya. Njoo WhatsApp kwa namba hizi +254759792752 au+255719999526
  13. Analogia Malenga

    Dar: Nyumba 16 zasombwa na maji baada ya mto kutanuka

    Baadhi ya wakazi wa Kimara Kibo, Dar es Salaam wanaoishi kando ya mto Gide wamelazimika kuhama baada ya mto huo kutanuka na kusomba nyumba 16. Waathirika wa tukio hilo wameomba msaada kwa wakati huu ambao baadhi yao wanahifadhiwa kwa majirani huku wengine wakisemekana kufariki kwa mshtuko...
  14. Superbug

    Kuna gari imesimama nje ya nyumba yangu getini naogopa kutoka nje

    Ni Land cruiser yenye vioo tinted imesimama nje ya geti toka saa nne usiku na imeondoka alfajiri ya saa kumi Namba zake ni t 456 ... Iliwekwa kiubavu. Dirisha lilifungulikwa kidogo.
  15. N

    Kuunganishiwa separate mita ya umeme nyumba za kupanga

    Heri ya mwaka mpya wapendwa. Kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu, kuna uwezekano wa kuwekewa mita tofauti na ya Tanesco ambayo naweza nikatumia peke angu iwe kwenye frame ya biashara au nyumba ya kupanga?
  16. B

    Plot4Sale Eneo zuri kwajili ya hospital, yard, shule etc. Linauzwa

    Tsh. 180 MILLION NEG, KIFURU HALI YA HEWA, NJIA YA KUELEKEA MBEZI LOUS SUITABLE FOR, school, hospital, yard 🎁2 Acre SIZE🗞️Surveyed Area with beacon☎️0767264754/0739441351
  17. Keco Group ltd

    House4Sale Nyumba ipo Mbagala- Chamanzi inauzwa Million Tisini (90 )

    NYUMBA INAUZWA MILLION TISINI (90) NYUMBA IPO MBAGALA_CHAMANZI. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NAMBA HII: 0769160000 Nyumba ina vyumba vinne chumba kimoja master ina sittingroom diningroom jiko store na choo cha publick ina tiles nyumba nzima ina fence nyumba nzima ina parking kubwa yakukaa gari...
  18. Sky Eclat

    Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

    Wazungu walijenga nyumba za ghorofa kutokana na uhaba wa ardhi kwao. Nimekutana na Wafrika Magharibi pia mawazo yao ni ya kujenga ma ghorofa. Nikipowauliza sababu waliniambia kwao ardhi ni ghali sana. Kupata kiwanja cha kujenga nyumba inakulazimu uwe na kuanzia milioni 20 kwa pesa ya...
  19. Shobi

    Maoni:Kwa nyumba hii gharama zipoje?

    Mambo vipi wakuu! Kulingana na hali ya sasa naomba mchanganuo wa ujenzi wa nyumba hii.Chumba cha kulala kiwe kimoja na sitting room basi na ukubwa ni 6*8.Ukiondoa tofali zipo tayar karibuni
  20. Alex Hamadi Hamis

    Nyumba ya kupanga inahitajika (Goba/ Mbezi)

    Habari za leo wanaJF, Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Goba ama Mbezi Africana/Luis yenye vyumba viwili/vitatu vya kulala, choo, sebule, jiko na dining. Umeme uwe wa kujitegemea, maji, pamoja na ulinzi salama. Bajeti yangu mwisho ni 200k TZS, na ninahitaji ya mkataba wa kuanzia kwa miezi...
Back
Top Bottom