nyumba

  1. Judi wa Kishua

    JamiiForums Tanzania Usafi, mapambo na mpangilio wa nyumba: Special thread

    Huu ni uzi maalum wa kupeana ideas, uzoefu na elimu ya kupamba nyumba, namna ya kusafisha ndani na nje ya nyumba, pamoja na mpangilio wa vitu katika nyumba zetu.
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Songwe: Mtu 1 afariki baada ya Baruti zinazotumika katika ulipuaji wa miamba kwenye Migodi kulipuka na pia kuharibu vibaya nyumba sita

    Happymark Msuwila amepoteza maisha huku Jinasa Mayunga (54) akijeruhiwa baada ya Baruti zinazotumika katika ulipuaji wa miamba kwenye Migodi kulipuka na pia kuharibu vibaya nyumba sita za karibu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, George Kyando, amesema mlipuko huo ulitokea Jumatatu usiku katika...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mchawi anawezaje kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa?

    Wakuu habari Siku hizi Nina interest kubwa na quantum physics au quantum mechanics na nilikuwa najaribu kuhusianisha hizi habari za wachawi kupita kati ya kuta za nyumba na kuingia ndani na kitu kinachoitwa quantum tunnelling kwenye quantum physics. Si wachawi tu Ila kuna simulizi katika...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu wa kujenga nyumba ukiwa na miaka 60?

    Maisha yote uliishi nyumba ya kupanga, leo ukiwa 60 ndiyo umestaafu na kulipwa mafao. Ndiyo unatafuta kiwanja ujenge nyumba. Ni kheri kuhesabu pesa ya mafao kwa kodi ya nyumba kwa miaka iliyobaki au uingie kwenye changamoto za ujenzi? Kodi ni laki mbili na nusu kwa mwezi na mafao yako ni...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Wananchi wabomoa nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Kishiri, Nyamagana

    Wananchi wenye hasira wa mtaa wa Kishiri huko Nyamagana Mwanza wamebomoa nyumba ya mwenyekiti wa serikali ya mtaa kwa madai ya kumuua kijana mmoja aitwaye Kinyasi Inadaiwa mwenyekiti huyo alimkamata Kinyasi kwa madai kuwa aliiba ndala na kumpiga hali iliyopelekea kifo chake. Haijafahamika...
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania RIPOTI YA CAG: CHADEMA ilitumia Tsh Milioni 377 bila idhini ya Baraza la Chama

    Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii? Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama. Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya...
  7. Black Thought

    JamiiForums Tanzania Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

    Habarini wakuu, Kuna mjadala uliletwa humu kuhusu ni nyumba zipi zina gharama nafuu kwenye ujenzi kati ya hizi za kisasa za kuficha bati (‘contempoarary) na zile za kawaida. Ambapo kwa uzoefu wangu nilijaribu kuelezea kuwa kwa kawaida tunatarajia nyumba za paa la kuficha zitatumia tofali nyingi...
  8. Countrywide

    JamiiForums Tanzania Nilitumia miaka mitano ya kujenga nyumba ya ndoto yangu, inawezekana vijana tusilale

    .
  9. MagariTanzania

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba Nzuri ya Ghorofa Inakodishwa Bahari Zoo Tegeta

    In Vyumba sita vya kulala Vyumba vitatu ni self contained vikiwemo Master na Chumba special cha wageni Ukumbi/sebule (Living room) Jiko Ukumbi wa kulia (Dining room) Store Sehemu Ya kuogea (Jumla) Choo (Jumla) Ukubwa. Uwanja mkubwa karibu heka 1 wenye miti ya kuvuli. Kwa habari Zaidi kuhusu Kodi...
  10. polokwane

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa serikali nendeni nyumba za ibada kusali na kuondoka matamko ya kiserikali upo utaratibu wake rasmi msiige tabia ngeni zisizo faa..

    Kwanza kabisa niwaombe msiwe waongeaji sana hii itaanza kushusha heshima yenu maana kupitia kuongea sana ndipo watu hupima busara zenu na kila neno litokalo vinywani mwenu hubebwa kama hoja na yaweza zua mjadala kama sio kuchora picha halisi ya mwenendo wa serikali hivyo vinywa vyenu mjitahidi...
  11. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa karibu Idara ya Habari Maelezo, kitovu cha majungu, nyumba ya lawama ikiwa utakubali kutumika

    Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu. Idara...
  12. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kikiwa kidogo inabidi uwe mbunifu

    Niliwahi kumtembelea rafiki yangu, alipewa sehemu ya kujenga nyumba na wazazi wake, eneo halikua kubwa sana lakini ni katikati ya mji. Alijenga ghorofa na juu aliweka vyumba viwili vya kulala. Ngazi za kwenda vyumbani zilikua za design hii hapa kwenye picha. Choo na bafu vilikua chini pamoja...
  13. Kakondele

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Sumbawanga

    Nyumba inauzwa ipo Sumbawanga Izia mita 80 kutoka soko la sabasaba Ina vyumba vyumba vitatu kimoja ni master,sebule,dining room,jiko,store kwa nje ina chumba na sebule,vyoo vya nje,na vyumba vinne vya frame,maji na umeme vipo Bei ni Tzsh 35,000,000/=Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano...
  14. Fundi George

    JamiiForums Tanzania Kama unahitaji fundi umeme wa nyumba ya ndoto yako

    Tv showcase iliyofanyiwa design ya umeme kwa kazi nzuri kama hizi wasiliana na Fundi George 0622313163 0622313163 tunapatikana Dar es salaam.
  15. MagariTanzania

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba ya Ghorofani Inauzwa Upanga

    Nyumba ina muonekano wa kuvutia, Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kinajitosheleza ( Masta bedroom), subule, jiko la kisasa na mahala pa kula. Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote. Bei TZS -210milioni. Hii ni nyumba...
  16. MagariTanzania

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya gorofani (Apartment) inapangishwa Mbezi Juu

    Nyumba bora ya ghorofani, inavutia na ya kisasa. Nyumba ipo eneo tulivu la Mbezi Juu, ukiwa sebuleni au katika Varanda unatazama Bahari ya Hindi Au unapuliziwa upepe mwanana wa Bahari. Nyumba ipo wazi na tayari kwa ajili ya kupangishwa. Nyumba ina muonekano wa kuvutia ndani na nje Ina vyumba...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Mgeni nyumbani ambaye ni kero, mzigo na anataka kuiendesha nyumba kuwazidi hata wenyeji?

    Sijui kama wewe imewahi kukutokea, lakini kwangu ndicho kinachoendelea na uzalendo unaanza kunishinda. Ni hivi, nina ndugu wa kiume wa mke wangu, ana changamoto za kimaisha na kiuchumi, tunamhifadhi hapa nyumbani kwa muda, ajipange na kisha tuangalie namna gani tunaweza kumsaidia asimame kwa...
  18. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Songwe yamrejeshea mkopaji nyumba ya TSh165 milioni

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Songwe imeokoa nyumba yenye thamani ya Sh165milioni iliyochukuliwa baada ya mmiliki kushindwa kurejesha mkopo wa Sh15milioni mali ya Jacob Masebo (62). Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Songwe, Damas Suta amesema, Masebo alikopa Sh15milioni...
  19. P

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba inapangishwa Masaki

  20. P

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba inapangishwa Mbezi Beach

    NYUMBA
Back
Top Bottom