Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali inapendekeza Kukusanya kodi za majengo kwa kutumia Luku.najiuliza tuu,vipi nyumba zisizo na umeme,je zimesamehewa kodi ya majengo?
Kuna mita za luku nyingi kuliko nyumba amini nakwambiaSerikali inapendekeza Kukusanya kodi za majengo kwa kutumia Luku.najiuliza tuu,vipi nyumba zisizo na umeme,je zimesamehewa kodi ya majengo?
Hayo ni matusi sasa,wengine wako vijijini na umeme wa luku huko hauko,wana umeme wao kama sola na majenerato maisha yanasonga.Kwa hiyo hao hawahusikiNyumba ambayo haina umeme haiitwi nyumba bali ni banda.
Kuna nyumba nyingi hazina umeme huko vijijini so mwisho wa siku inabalanceKuna mita za luku nyingi kuliko nyumba amini nakwambia
Wapangaji si ndiyo wanaishi humo? Ki-mantiki wapangaji wanamiliki hizo nyumba kwa kipindi cha kodi zao "right of use"Waliosamehewa Kodi ya nyumba ni wamiliki, watakaolipa ni wapangaji. Hii nchi imekosa watafiti kwa kweli.
Wamiliki wa nyumba wanaweza kuwa asilimia 30 tu nchini waliobaki ni wapangaji na wanalazimika kujilipia umeme
Yaani ni shida kwa mfano jengo la ghorafa linaweza kuwa na mita zaidi ya mia tofautitofautiKuna mita za luku nyingi kuliko nyumba amini nakwambia
kodi ya jengo inalipwa mara moja kwa mwaka, sasa ikitokea mpangaji ameishi miezi 6 tu akahama inakuwaje?Wapangaji si ndiyo wanaishi humo? Ki-mantiki wapangaji wanamiliki hizo nyumba kwa kipindi cha kodi zao "right of use"
Mkuu hapa umenishtua, kuanzia sasa nitatumia solar na generatorSerikali inapendekeza Kukusanya kodi za majengo kwa kutumia Luku.najiuliza tuu,vipi nyumba zisizo na umeme,je zimesamehewa kodi ya majengo?
kodi ya mwaka inagawanywa kwa miezi 12,kwa hiyo hapa kama kila mwezi ni 1000,maana yake kwa mwaka ni 12,000/=.Mpangaji akikaa miezi sita atakuwa amenunua umeme wa miezi 6 ,hivyo amelipa 6,000/=.Inayobaki atalipa atakaye itumia hiyo luku baadaye.kodi ya jengo inalipwa mara moja kwa mwaka, sasa ikitokea mpangaji ameishi miezi 6 tu akahama inakuwaje?
sasa mtu atapangiwaje matumizi yake ya umeme, kuna watu wanabania matumizi ya umeme acha tu!kodi ya mwaka inagawanywa kwa miezi 12,kwa hiyo hapa kama kila mwezi ni 1000,maana yake kwa mwaka ni 12,000/=.Mpangaji akikaa miezi sita atakuwa amenunua umeme wa miezi 6 ,hivyo amelipa 6,000/=.Inayobaki atalipa atakaye itumia hiyo luku baadaye.
Hii nzuri itafanya Nyumba nyingi ambazo hazijapelekewa umeme zipelekeweSerikali inapendekeza Kukusanya kodi za majengo kwa kutumia Luku.najiuliza tuu,vipi nyumba zisizo na umeme,je zimesamehewa kodi ya majengo?
Ndo wigo wa kukusanya kodi umepanuliwa hivyoYaani ni shida kwa mfano jengo la ghorafa linaweza kuwa na mita zaidi ya mia tofautitofauti
Atakakohamia hatalipa, kwa hiyo imejibalance. Nadhani faida ya mfumo huu ni urahisi wa kulipa kwa mlipaji pamoja na uhakika wa serikali kupata kodi yake. Details nyingine nadhani zitaangaliwa kutokana na michango ya wabunge.kodi ya jengo inalipwa mara moja kwa mwaka, sasa ikitokea mpangaji ameishi miezi 6 tu akahama inakuwaje?
hahahahahahhahahahahahahahahaha...Nyumba ambayo haina umeme haiitwi nyumba bali ni banda.