Mwigulu ni genius, kwa bajeti hii ametutua mzigo wenye nyumba

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Feb 26, 2018
2,490
3,534
Habari wadau..!
Huku mitaani wenye nyumba tumeipokea kwa furaha sana bajeti ya Mwigulu Lameck Nchemba.

Kwa sasa tutakuwa hatusumbuki tena kwenda bank kulipa kodi maana kodi zitalipwa automatically na wapangaji kupitia manunuzi ya umeme kama wenye nyumba hauishi kwenye nyumba uliyopangisha au tutachangia wote kama tunaishi pamoja hii itatupunguzia mzigo sana kwa wenye nyumba.

Hapa ndio ninapoona kwamba mama Samia Suluhu Hassani the presidente of JMT hakukosea kuchagua Mwigulu.
 
Habari wadau..!
Huku mitaani wenye nyumba tumeipokea kwa furaha sana bajeti ya Mwigulu Lameck Nchemba.

Kwa sasa tutakuwa hatusumbuki tena kwenda bank kulipa kodi maana kodi zitalipwa automatically na wapangaji kupitia manunuzi ya umeme kama wenye nyumba hauishi kwenye nyumba uliyopangisha hii itatupunguzia mzigo au tutachangia wote kama tunaishi pamoja.

Hapa ndio ninapoona kwamba mama Samia Suluhu Hassani the presidente of JMT hakukosea kuchagua Mwigulu.

Wapangaji watawadai nyie Mbona rahisi tu...
 
Hapo dawa yake ni mwenye nyumba kuweka Solar.
Nae mpangaji asimamie isile kwake make nyumba si yake!

NB: Sikutegemea nia njema kutoka kwa mwigulu!!
 
Habari wadau..!
Huku mitaani wenye nyumba tumeipokea kwa furaha sana bajeti ya Mwigulu Lameck Nchemba.

Kwa sasa tutakuwa hatusumbuki tena kwenda bank kulipa kodi maana kodi zitalipwa automatically na wapangaji kupitia manunuzi ya umeme kama wenye nyumba hauishi kwenye nyumba uliyopangisha hii itatupunguzia mzigo au tutachangia wote kama tunaishi pamoja.

Hapa ndio ninapoona kwamba mama Samia Suluhu Hassani the presidente of JMT hakukosea kuchagua Mwigulu.
 
Wapangaji watawadai nyie Mbona rahisi tu...
Mkataba ndio kila kitu ,hapa nafanya mabadiliko ya mkataba .Si unajua mtu anapokuwa na shida ya chumba au nyumba akibanwa huwa hawasomi mikataba au hata wakisoma wanakubali tu kila kitu hata ukimwambia mke wako atakuwa anakuja kunipikia weekend mtu anasaini tu anakwambia hakuna shida faza hausi.😂😂😂😂😂
 
Hapo dawa yake ni mwenye nyumba kuweka Solar.
Nae mpangaji asimamie isile kwake make nyumba si yake!

NB: Sikutegemea nia njema kutoka kwa mwigulu!!
Ukizeeka wewe utakuwa mchawi,yaani unafanya fitina zote ili Gavo isipate kodi🙄🙄🙄
 
Ukizeeka wewe utakuwa mchawi,yaani unafanya fitina zote ili Gavo isipate kodi🙄🙄🙄
Mkuu hiyo Gava tayari inakodi kibao kwa wafanyabiashara wakubwa ishashindwa kukusanya. Imezidiwa ujanja. Alafu wanarudi kwa wanyonge wao...
Why nisiwasanue wanaoweza wasanuke??
 
Mkataba ndio kila kitu ,hapa nafanya mabadiliko ya mkataba .Si unajua mtu anapokuwa na shida ya chumba au nyumba akibanwa huwa hawasomi mikataba au hata wakisoma wanakubali tu kila kitu hata ukimwambia mke wako atakuwa anakuja kunipikia weekend mtu anasaini tu anakwambia hakuna shida faza hausi.
Hiyo ni dhulma,12K per year inakutia dhambi au nyumba umerithi hiyo?

Umaskini mkubwa sana unaoushangilia hapa,sema ni vile hata wapangaji wenyewe hawatapenda kupigizana kelele na wewe ila wakisema uilipe wewe utailipa tu hujawahi kukutana na mpangaji mtata anakuletea vifungu mwenyewe utasema kwa unyonge “basi sawa itakuwa hivyo hivyo tu kama ulivyosema”
 
Habari wadau..!
Huku mitaani wenye nyumba tumeipokea kwa furaha sana bajeti ya Mwigulu Lameck Nchemba.

Kwa sasa tutakuwa hatusumbuki tena kwenda bank kulipa kodi maana kodi zitalipwa automatically na wapangaji kupitia manunuzi ya umeme kama wenye nyumba hauishi kwenye nyumba uliyopangisha au tutachangia wote kama tunaishi pamoja hii itatupunguzia mzigo sana kwa wenye nyumba.

Hapa ndio ninapoona kwamba mama Samia Suluhu Hassani the presidente of JMT hakukosea kuchagua Mwigulu.


Tume ya mipango ndiyo inatengeneza Budget sio waziri
 
Back
Top Bottom