nyerere

  1. FRANCIS DA DON

    Shuhudia shughuli ua uchepushaji mto rufiji ujenzi wa Nyerere hydro power dam

    Naona sasa kazi inaenda kwa kasi ya kuridhisha, tunasubiri hili bwawa kwa hamu kubwa ili bei ya umeme ishuke, umeme wa uhakika, na kunawiri kwa viwanda pamaoja na kushuka kwa gharama za uzalishaji nanhivyo kuongeza ushindani sokoni kwa bidhaa zinazozalishwa ndani. video ina maelezo ya ziada.
  2. YEHODAYA

    Yeriko Nyerere tusaidie, kitabu chako ukiuza kupitia Amazon unalipwa kwa njia ipi?

    Watanzania wengi wanataka kuuza vitu masoko na maduka ya mitandaoni kama Amazon, Ebay n.k Yericko Nyerere, huwa unalipwaje ukiuza kitabu chako cha ujasusi wa kiuchumi kwenye duka la Mtandaoni la Amazon; yaani pesa zako huwa unazipataje, kwa Paypal au njia ipi mteja aki-click na kununua? Sababu...
  3. esther mashiker

    Wazee wampongeza Rais Magufui ujenzi bwawa la Nyerere

    CHAMA cha Saidia Wazee Tanzania (SAWATA) kimempongeza Rais John Magufuli kwa ushupavu, alioonesha wa kuamua kutekeleza ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Mto Rufi ji wa Julius Nyerere Hydropower Project (JNHPP), ambao ujenzi wake kwa sasa umefi kia asilimia 10. Mradi huo wa kuzalisha...
  4. Kididimo

    Mwl. Nyerere alianzisha miradi mingi kuliko hii tunayoisika: . Alikosa " Whistle blowers" kwa sababu ya mfumo wa chama kimoja, ikafa yote. Tujifunze

    Ni maoni yangu: Kwa kuwasikiliza viongozi wetu wa juu wa chama, kuna dalili ya kurudi mfumo wa utawala wa chama kimoja. .Sina takwimu ni Watanzania wangapi wangependa iwe hivyo,japo hakuna aliyejitokeza waziwazi ndani ya chama Tawala kusemea hii trend. Athari mojawapo kubwa ni kuwa na utawala...
  5. YEHODAYA

    Profesa René Dumont aliyethubutu kumpinga wazi Nyerere kwenye suala la vijiji vya ujamaa kwa hoja nzito ambayo tayari imetimia

    Nyerere miaka ya 1970 aliwahi kumualika Profesa Mfaransa Rene Dumont mtu aliyebobea kwenye uchumi wa kilimo aliyesifiwa mno kwa uwezo kwenye eneo hilo la uchumi wa kilimo duniani. Alipofika alitembezwa sehemu mbalimbali vijijini. Wakati huo operation ya vijiji vya ujamaa ndio ilikuwa imepamba...
  6. Pascal Mayalla

    Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike

    Wanabodi, Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandishwa humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea!. Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli Nimesema kwa upande wa wanyama pori...
  7. Erythrocyte

    Steve Nyerere atangaza kumng'oa Msigwa Iringa Mjini

    Msaanii Maarufu sana wa Filamu Nchini Tanzania Steve Nyerere ametangaza kumvua ubunge mchungaji Msigwa kwenye uchaguzi Mkuu utaofanyika mwishoni mwa mwaka huu, ametangaza kugombea jimbo la Iringa Mjini ili kulipa kisasi baada ya Mh Msigwa kumtaja bungeni kwa kuponda mipango ya Wizara ya mali...
  8. Cvez

    Steve Nyerere: Mchungaji Peter Msigwa nimemchukulia mwanamke ndio maana anaendekeza ugomvi na wasanii kutangaza utalii nchini

    Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala. Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye...
  9. Kididimo

    Karne hii ni vigumu kupata Viongozi mioyo ya chuma kama kina Nyerere, Sokoine Dr. Kleruu nk

    1. Walisimamia waliyoyaamini bila kuyumba. 2. Walipinga Kiongozi wa umma kujilimbikizia mali kwa wao kuwa mfano. 3. Walitoa kauli au matamko yenye msimamo mmoja. 4. Waliheshimu viongozi waliowateua. 5. Hawakuwahi kubagua watu kwa makabila, dini, mila, ukanda nk.
  10. J

    Enzi za Mwalimu Nyerere mbunge wa Kigoma Mjini Zitto angewekwa kizuizini kwa matamshi yake

    Ananieleza Mzee Mgaya kwamba Rais Magufuli ni mkali lakini ni muungwana na mvumilivu sana. Enzi za Mwalimu Nyerere huyu Kabwe angekuwa kizuizini muda huu akichunguzwa juu ya kauli zake za mara kwa mara zilizojaa uchochezi, anaeleza MzeeMgaya. Waziri katumbuliwa na kosa lake limeelezwa wazi...
  11. J

    Umoja wa Afrika ( AU) wampongeza Rais Magufuli kwa kutekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha Afrika

    Kamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika. Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya...
  12. Nigrastratatract nerve

    Mwalimu Nyerere: Kuna wanasiasa wanaouza heshima zao kwa sababu ya pesa. Ukiwapa pesa watatukana kweli kweli, wako tayari kusaliti nchi

    Hawa watu huwa wanapewa pesa kwa masharti ya kuongea maneno waliyoandikiwa na wafadhili wao. Hii nimeifananisha na tabia ya jamaa mmoja wa nchi ya Tanzania alikuwa akilipwa na ACACIA kuitukana Serikali. Jamaa waliomtuma kuongea yale maneno walimchagulia hata matusi ya kutukana. Kama ilivyo...
  13. J

    Yericko Nyerere kurithi viatu vya mzee Sumaye kanda ya Pwani Chadema?

    Nimepata taarifa ambazi siyo rasmi sana huko kigamboni kwamba kijana machachari na mwandishi wa vitabu vya ujasusi Kamanda Yericko Nyerere atajitosa kulitwaa jimbo la Pwani kama mwenyekiti wake kupitia Chadema. Namtafuta Yericko atuthibitishie hili. Maendeleo hayana vyama!
  14. Sky Eclat

    Nyerere was a President, Diplomat, Politician and also a Teacher

    6 Maoism in TanzaniaMaterial connections and shared imaginariesPriya LalWe stand for self-reliance. We hope for foreign aid but cannot bedependent on it; we depend on our own efforts, on the creative power ofthe whole army and the entire people.Self-Reliance and Arduous StruggleIn December...
  15. J

    Taasisi ya Kavazi la Mwalimu Nyerere imefungwa rasmi baada ya kukamilisha majukumu yake

    Prof Issa Shivji aliyekuwa Mwenyekiti wa taasisi ya Kavazi la Mwalimu Nyerere amesema taasisi hiyo imefungwa rasmi baada ya kukamilisha majukumu yaliyosababisha ianzishwe. Shivji amesema sasa fikra za mwalimu Nyerere zitaendelea kusomwa kupitia vitabu mbalimbali vilivyotayarishwa na taasisi...
  16. J

    Tumeshahama sasa tujikite kwenye ndoto ya Nyerere ya kuwa na serikali moja kwani Dodoma ni katikati ya Kagera na Zanzibar

    Baada ya Rais wetu mpendwa Dk. Magufuli kutimiza ndoto ya baba wa taifa ya kuhamia Dodoma ni wakati sasa wa kufikiria ndoto ya pili ya Mwalimu Nyerere ya kuwa na muungano wa serikali moja. Dodoma ni katikati ya ramani ya muungano wetu hivyo serikali kuhamia katika jiji hilo ni ishara nzuri ya...
  17. SONGOKA

    Nyerere angekuwa Nyerere ndani ya miaka 10 tu?

    Mimi si mshabiki sana wa madikteta lakini pia si mshabiki wa demokrasia ya Ulaya na Marekani Nimekuwa nikijiuliza sana hivi uongozi wa Mwalimu Nyerere ungeishia mwaka 72 Je angekuwa na umaarufu huu wa sasa? Au muda wa kutosha aliopewa ni kigezo pia cha kutekeleza mengi zaidi? Je, angeishia...
  18. KIBESENI

    Nchi yangu, je Nyerere angekuwapo angenyamaza?

    Sipati jibu ninapowaza juu ya nchi yangu 🇹🇿 Tanzania. Nashindwa cha kufanya, naishia kusema: Je, Nyerere angekuwepo angenyamaza kama hawa Wastaafu walivyonyamaza utadhani hawapo? Mbona huyu mwenye majina mengi anabomoa, nani atakayeijenga tena Tanzania ya Watanganyika na Wanzibari? Nauliza...
  19. Mwl.RCT

    Kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Arts Festival)

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere linalofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini...
  20. G

    Jakaya Kikwete alimtuma Membe kwa Mwl Nyerere - Sehemu ya sita (6)

    KIFO CHA AKUKWETI,MIKAKATI YA LOWASSA,KARATA YA KIKWETE NA UTEUZI WA MEMBE. Habari za siku wasomaji wangu mnaofuatilia "series" yenye "episodes" zinazoelezea historia ya maisha ya kisiasa ya kiongozi nguli nchini Tanzania Bernard Kamilius Membe. Katika "episode" iliyopita niliahidi kuwaelezea...
Back
Top Bottom