Mkapa, Kikwete, Mwinyi na Nyerere hawakuwahi kupanda Madhabahuni kuhutubia Taifa?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
13,589
19,659
Katika hali ya Kawaida, msikitini ni pahala patakatifu pa kumwabudu mungu na kanisani ni pahala pa kumwabudu Mungu.

Tangu tupate uhuru 1961, December, Tanganyika haijawahi kutokea Nyerere akiwa Waziri mkuu wa Kwanza, mpaka akafikia urais, Mwinyi kuanzia 1984-1995, Mkapa 1995-2005, Kikwete 2005-2015 hakuna hataa mmoja wao aliyetumia madhabahu ya Mungu kuhutubia wananchi ambao hata hawahusiani na hizo dini, na kulazimisha kila misa na mahubiri yakii sha kuingia madhabahuni.

Hii haipo kwenye liturujia ya KAtoliki wala waislamu, na mtu anapanda madhabahuni huku mikono yake ikiw na visasi, na mengine mengi,"wajumbe" tukumbushane huyu aliyeko sasa, ni lini alienda kanisani akaacha kungangania kupewa maiki?

Ni lini mliwahi kuona marais waliomtangulia wakiwa na misafara ya usalama kanisani?

Utawala umekosa presidential briefing, yaani Msigwa anakuja na habari zake huko toka Ikulu na waandishi hawana la kuhoji, thats absurd.

Anajihami kupigana vita ya kiuchumi lakini ajue tu hakuna vita ya mtu mmoja, ndio mwanzo wa ugonjwa wa moyo.


Nani kamwona Kikwete akiongelea mambo ya kitaifa msikiti wa Kinondoni?
 
Kikwete ameshawahi kuomba kura kwenye madhabahu ya kanisani 2005
 
Toka Mwinyi ama hata nje ya nchi sijawahi kuona kila hutuba lazima kiongozi wa nchi avisifie vyombo vya ulinzi na usalama au kuvipongeza ni serikali yetu ya awamu ya 5 tu ndio inafanya hivyo kila mahala na kila wakipata nafasi ya kuongea hata juzi kwenye msiba aliipongeza vyombo vya ulinzi na usalama.

Najua vyombo vya ulinzi na usalama wana kazi kubwa kutulinda, lakini kuwapongeza kila mahala na kila wakati inaleta ukakasi. Mbona kikwete hakua anafanya hivyo, Mkapa au mwinyi na hata Nyerere kwenye hotuba zake husikii kila mara anavipongeza vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Mpwa kila zama na kitabu chake,ndo imeshakuwa hivyo.
Subiri ma Rais wataokuja hao huenda wakaja kuhutubia kwenye kilinge chako/chenu.
Basi wote tuseme ntawile.
 
Katika hali ya Kawaida, msikitini ni pahala patakatifu pa kumwabudu mungu na kanisani ni pahala pa kumwabudu Mungu.

Tangu tupate uhuru 1961, December, Tanganyika haijawahi kutokea Nyerere akiwa Waziri mkuu wa Kwanza, mpaka akafikia urais, Mwinyi kuanzia 1984-1995, Mkapa 1995-2005, Kikwete 2005-2015 hakuna hataa mmoja wao aliyetumia madhabahu ya Mungu kuhutubia wananchi ambao hata hawahusiani na hizo dini, na kulazimisha kila misa na mahubiri yakii sha kuingia madhabahuni.

Hii haipo kwenye liturujia ya KAtoliki wala waislamu, na mtu anapanda madhabahuni huku mikono yake ikiw na visasi, na mengine mengi,"wajumbe" tukumbushane huyu aliyeko sasa, ni lini alienda kanisani akaacha kungangania kupewa maiki?


Ni lini mliwahi kuona marais waliomtangulia wakiwa na misafara ya usalama kanisani?

Utawala umekosa presidential briefing, yaani Msigwa anakuja na habari zake huko toka Ikulu na waandishi hawana la kuhoji, thats absurd.

Anajihami kupigana vita ya kiuchumi lakini ajue tu hakuna vita ya mtu mmoja, ndio mwanxo wa ugonjwa wa moyo.

Nani kamwona kikwete akiongelea mambo ya kitaifa msikiti wa kinondoni?

Kuna msahafu umeongelea haya unaposema? Akiwa kanisani , amewahi kudhalilisha dino nyingine?
 
Hakuna sheria yoyote inayokataza Kiongozi wa Nchi kutumia madhabahu kuhotubia. Hata hivyo madhabahu ni sehemu ya kawaida tu sawa na sehemu zingine ndani ya msikiti na ama kanisa.

Shida yako ni kuwa wewe ni miongoni mwa wananchi wachache wasiompenda kiongozi wa sasa wa nchi yetu.
 
Kuna msahafu umeongelea haya unaposema? Akiwa kanisani , amewahi kudhalilisha dino nyingine?
[/QUOTE]
Hakuna pahala nimesema "amedhalilisha dini nyingine" MATAGA mna shida kwenye MEDULA, soma uelewe usiwe kama bao la kwanza
 
Hakuna sheria yoyote inayokataza Kiongozi wa Nchi kutumia madhabahu kuhotubia. Hata hivyo madhabahu ni sehemu ya kawaida tu sawa na sehemu zingine ndani ya msikiti na ama kanisa.

Shida yako ni kuwa wewe ni miongoni mwa wananchi wachache wasiompenda kiongozi wa sasa wa nchi yetu.
pumbvu zako wewe MATAGA, eti MADHABAHU NI SEHEMU YA KAWAIDA/shit! wewe!

Usifananishe sehemu yenu ya mizimu Lumumba na madhabahu yeyote, iwe ya waislamu ama wakristo, pumbav kabisa wewe, hujaelimika, .
 
Mpwa kila zama na kitabu chake,ndo imeshakuwa hivyo.
Subiri ma Rais wataokuja hao huenda wakaja kuhutubia kwenye kilinge chako/chenu.
Basi wote tuseme ntawile.
Mkuu Kama nchi tunahitaji kuwa na standards and use the best practices unless Kama wewe ni msukuma
 
Tatizo Kubwa nililoliona kwa Watanzania ni kwamba Watu tunataka Kumfananisha JPM na JK na pia hatuna Ufahamu wa kina wa Protocols Issues.
 
Katika hali ya Kawaida, msikitini ni pahala patakatifu pa kumwabudu mungu na kanisani ni pahala pa kumwabudu Mungu.

Tangu tupate uhuru 1961, December, Tanganyika haijawahi kutokea Nyerere akiwa Waziri mkuu wa Kwanza, mpaka akafikia urais, Mwinyi kuanzia 1984-1995, Mkapa 1995-2005, Kikwete 2005-2015 hakuna hataa mmoja wao aliyetumia madhabahu ya Mungu kuhutubia wananchi ambao hata hawahusiani na hizo dini, na kulazimisha kila misa na mahubiri yakii sha kuingia madhabahuni.

Hii haipo kwenye liturujia ya KAtoliki wala waislamu, na mtu anapanda madhabahuni huku mikono yake ikiw na visasi, na mengine mengi,"wajumbe" tukumbushane huyu aliyeko sasa, ni lini alienda kanisani akaacha kungangania kupewa maiki?

Ni lini mliwahi kuona marais waliomtangulia wakiwa na misafara ya usalama kanisani?

Utawala umekosa presidential briefing, yaani Msigwa anakuja na habari zake huko toka Ikulu na waandishi hawana la kuhoji, thats absurd.

Anajihami kupigana vita ya kiuchumi lakini ajue tu hakuna vita ya mtu mmoja, ndio mwanzo wa ugonjwa wa moyo.

Nani kamwona Kikwete akiongelea mambo ya kitaifa msikiti wa Kinondoni?
Hoja ya kijinga na kishamba Sana hii!!
Kwani mwandishi ni Mtanzania kweli au lijamaa tu limetokea zake Kuzimu huko linakuja na hoja ya kipumbavu kwenye nchi iliyostarabika siyo?
 
Madhabahu ya lumumba imedoda hivyo mkuu kabadili gia angani na huu ni wakati wa kudandia madhabahu za waislam na wakristo maana mkuu anaomba ridhaa ya kuitawala TZ kwa mhula mwingine
 
Tangu askofu Niwemugizi alipodhibitiwa asikosoe watawala, pia askofu Kakobe, Gwajima kupimwa mkojo, nk.. dini zote wametiwa mifukoni mwa utawala, HAKUNA uwezekano wa kukosoa uovu wowote wala kutetea wananchi. Kazi yao ni kusifu tuu. So, kumpa madhabahu ahubiri si ajabu
 
Unataka kila alilofanya JK na JPM afanye, au asilofanya mmoja na mwingine asifanye? Don't be dumb..
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom