Kwa kuwa Tayari tuna Nyerere day, siku ambayo hutumika Kama kumbukumbu ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Tanzania, napendekeza pia kuwe na Mkapa Day ili kila mwaka Taifa liweze kusherehekea kumbukumbu ya kifo cha Rais huyu wa awamu ya tatu.
Wote walikuwa Marais hivyo lazima tuwaenzi bila ubaguzi
Wote walikuwa Marais hivyo lazima tuwaenzi bila ubaguzi