Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Msanii wa Bongo Movie, Steve Nyerere amefika katika Ofisi ya CCM Iringa Mjini kuchukua fomu za kuwani kugombea ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini.
---
Muigizaji wa filamu nchini Steven Mengele, maarufu kama Steve Nyerere, amesema kuwa anawashukuru wale wote wanaomtishia
Msanii wa Bongo Movie ambae ni Mchekeshaji, Steve Nyerere amechukua fomu za kuwani kugombea ubunge katika Jimbo la Iringa mjini. Steve amechukua Fomu hiyo leo Julai, 14, 2020 Katika Ofisi ya CCM lringa Mjini. Mbunge wa jimbo hilo aliyemaliza muda wake ni Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA
Muigizaji wa filamu nchini Steven Mengele, maarufu kama Steve Nyerere, amesema kuwa anawashukuru wale wote wanaomtishia
Msanii wa Bongo Movie ambae ni Mchekeshaji, Steve Nyerere amechukua fomu za kuwani kugombea ubunge katika Jimbo la Iringa mjini. Steve amechukua Fomu hiyo leo Julai, 14, 2020 Katika Ofisi ya CCM lringa Mjini. Mbunge wa jimbo hilo aliyemaliza muda wake ni Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA