BWM. rest in peace.
Moja ya mambo makubwa aliyofanya hayati Mkapa bila kujali kama yalileta tija au yalitia hasara ni Ubinafsishaji wa Mashirika ya Umma.
Kama ilivyozoeleka kwa marais waliofata baada ya Mwalimu Nyerere, mambo mengi wamekuwa wakiyafanya kwa ajili ya nchi na kujinasibu kuwa wanafanya hivyo kumuenzi Baba wa Taifa.
Je, ubinafsishaji wa mashirika ya umma ulikuwa ni sehemu ya kumuenzi Mwalimu Nyerere?
Moja ya mambo makubwa aliyofanya hayati Mkapa bila kujali kama yalileta tija au yalitia hasara ni Ubinafsishaji wa Mashirika ya Umma.
Kama ilivyozoeleka kwa marais waliofata baada ya Mwalimu Nyerere, mambo mengi wamekuwa wakiyafanya kwa ajili ya nchi na kujinasibu kuwa wanafanya hivyo kumuenzi Baba wa Taifa.
Je, ubinafsishaji wa mashirika ya umma ulikuwa ni sehemu ya kumuenzi Mwalimu Nyerere?