Habari ndugu jamaa na marafiki.
Nilikuwa mfanyakazi katika taasisi binafsi hapa mkoani nimefanya kwa muda wa miaka miwili, ingawa ndoto zangu zilikuwa ni kujiajiri ktk biashara kwa hiyo niliweka target ya kufanya kazi kwa muda ili nipate mtaji wa kuanzia business.
Mwez wa pili mwaka huu...