ndugu

Leon "Ndugu" Chancler ( in-DOO-goo CHANSS-lər; July 1, 1952 – February 3, 2018) was an American pop, funk and jazz drummer. He was also a composer, producer, and university professor.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    GE2020 Ndugu Polepole kitendo cha kusema hadharani kuwa Lissu "Siyo mwenzetu" na umepanga kumuanika siku saba za mwisho ni upuuzi mwingine katika siasa!

    Hizi siasa za kuchafuana utu kwa mambo ya kipuuzi, kumshushia mwenzako hadhi ya ubinadamu wake na huku ukijua alikotokea ni jambo la kipuuzi na linapaswa kukemewa hadharani. Hii inanifanya niamini kuwa hukumu za jana ndani ya mahakama ya Kisutu zilikusudiwa kupangwa kisiasa. Watanzania tunajua...
  2. E

    Barua ya wazi kwa ndugu Tundu Lissu

    Nimekua nikikusikia kwenye kampeni zako ukiongea maneno mengi sana ya kuwadanganya na kuwalaghai watanzania kwamba utawaletea mabadiriko na maneno yako kamwe hayawezi kuwa na vitendo. Sote tunajua kwamba kazi yako ya uwakili na uanasheria ndio iliyo kufunza kuongea maneno mengi ili usaidie...
  3. B

    Ndugu wananchi, epukeni watu wanaopita nyumba kwa nyumba na madaftari ya kuandikisha wapiga kura na kukusanya michango

    Niliona hii DSM na Sasa hivi naiona hapa Mwanza, wapo wanawake na vijana wanashona nguo za vyama vya siasa na kupita nyumba kwa nyumba wakidai wanasajili wapiga kura. Watu Hawa wanahitaji jina na namba ya kitambulisho cha mpiga kura. Ukishawapa wapa taarifa zako au ukiwanyima wanakugusia hoja ya...
  4. Superbug

    Familia ya Ben na Azory unganeni muombe msaada wa Interpol kujua hatma ya ndugu zenu

    Hivi hizi familia zina hali gani mpaka sasa, je matumbo yaliyowazaa watu hawa na maziwa yaliyowanyonyesha yanajisikia vibaya kwa kiwango gani? Najaribu kuvaa viatu vya mama yake Ben na mke wa Azory. Nishauri utawala huu ukiondoka madarakani ndugu wote waliopotelewa na ndugu zao wajiorodheshe...
  5. T

    Jamii inayonizunguka inanipa mawazo sana ndugu zangu

    Habarini ndugu zangu, naombeni niwape mkasa wangu kidogo ili walio nizidi umri na wenye busara wanishauri kwenye ili ninalopitia, maana nina ongozwa na mawazo sana na nashindwa kuiona kesho yangu ilio bora Kwanza kabisa umri wangu ni miaka 30 kwa sasaivi, nimetokea katika familia ya ufukara...
  6. G Sam

    GE2020 Kampeni za Mgombea Ubunge wa Bukoba mjini kupitia CHADEMA ndugu Chief Karumuna: Bukoba yatikisika!

    Ni siku mbili tu baada ya Magufuli kutoka hapa!
  7. RUSTEM PASHA

    GE2020 Lissu kuzungumzia tozo kwa wajawazito Sumbawanga, ni kweli zipo ndugu zangu CCM au anadanganya?

    Lissu akiwa Sumbawanga kadai kuwa wakina mama wajawazito wanatozwa tozo mahospitalini pindi wanapojifungua. Kuwa mama akijifungua mtoto wakiume anatozwa tozo kubwa kuliko aliejifungua mtoto wa kike. Je, nikweli juu yahaya ndugu zangu CCM, au Lissu anadanganya? Je, kama nikweli, kwanini tozo...
  8. scientist 08

    Ushauri wenu kwa ndugu yetu huyu

    Kisa kipo hivi, Jamaa walikuwa kwenye mahusiano na mdada miaka sita, huyu dada alikuwa amalize huu Mwaka chuo harakati za ndoa zianze, kuna miezi iliyopita Mdada alipitia kwa jamaa akitokea chuo hivyo wakafanya ya kiutuzima, badae mdada akasema amepata mimba Yake, hivyo wakatambulishana...
  9. aise

    Inawezeka kufanikiwa bila kurithi mali za wazee au za ndugu wengine?

    Hivi kweli mtu darasa la saba, mtoto wa mkulima mjukuu wake mkulima, inawezekana kufanikiwa kiuchumi bila kubebwa? Kuna mtu anaweza kuthibitisha hili? Mafanikio nayozungumzia hapa ni walau kuwa na billions za Kitanzania.
  10. Snowden E

    GE2020 Ndugu, jamaa na marafiki zangu wengi hawana ‘vichinjio’ (Kadi za mpiga kura)

    Baada ya suala la uchaguzi wa uraisi na wabunge kupamba moto. Nilianza kufanya utafiti kidogo kwa makundi tajwa kama wametimiza vigezo na masharti ya kushiriki kwenye zoezi la kuchagua viongozi. Nili tumia njia ya maswali, na nilifanikiwa kuuliza kwa watu 100. Swali lilikuwa moja tu...
  11. Gemini Are Forever

    Kwa ndugu au wanaomfahamu Francis Johnpili, mwenyeji wa Mlandizi

    WanaJF, salaam kwenu. Mtajwa hapo juu kijana wa kiume mwenye umri (kwa kukadiria) wa miaka kati ya 19 hadi 24 ameonekana. Kijana huyo ni kama ana upungufu wa akili lakini ukimchunguza vizuri ni kama aliyepoteza kumbukumbu tu. Anadai kwamba yeye ni mwenyeji wa "Mlandizi bondeni" na baba yake...
  12. MK254

    Magaidi waendelea kuteka Msumbiji, hivi Watanzania "mlioikomboa" Afrika mbona mnashindwa kuwasaidia "ndugu" zenu hao?

    Visiwa kadhaa vya Msumbiji vimetekwa na kundi la magaidi wa kiislamu, wanaua bila kujali nini wala nini, pia mkoa wa Kaskazini uliopakana na Tanzania hakukaliki, hali imekua tete, watu wanatoroka vijiji vyao, serikali ya Msumbiji ni kama imeanza kukata tamaa. Nashangaa SADC imelala chali kwa...
  13. Sky Eclat

    GE2020 Wananchi wa Lamadi wana neno lao kwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM ndugu Magufuli

    SALAAM KUTOKA LAMADI KWENDA CHATO ALIKOPUMZIKA MGOMBEA WA CCM NDG. MAGUFULI. Ndg, mgombea na Mh. Rais salaam sana. Hivi majuzi umekuwa kwenye ziara ya mikutano yako ya kampeni kwa mikoa ya kanda ya ziwa. Watu wamekusanyika kwa hiyari yao na wengine kwa kushawishiwa ili wakusikilize. Mh...
  14. G Sam

    GE2020 Spika wa Bunge lililopita, Job Ndugai amfananisha Tundu Lissu(CHADEMA) na mnyama wa porini

    Haya ni maneno aliyotamka leo ndugu Job Ndugai
  15. M

    Tunahitaji nini kutoka kwa Vyama mbadala?

    Ndugu wanabodi salaam, Kama tujuavyo kwa sasa tuko katika Msimu wa Siasa za Uchaguzi, lakini nimekuwa nafuatilia sana baadhi ya mikutano ya kampeni inayofanywa na wagombea mbali mbali waliotia nia kugombea hasa nafasi ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, naomba kuweka wazi mikutano mingi...
  16. B

    Miaka ijayo Ndoa nyingi zitakuwa hivi...

    Katika hali ambayo haikutarajiwa, Ann Magwi na Jonathan Munini kutoka Kenya, wamelazimika kukatisha zoezi la kufunga ndoa, baada ya James Sidai kujitokeza kanisani na kusema yeye ndio Baba yao Mzazi, Baba huyo aliingia kanisani akiwa na Dada yake na kusema ndoa hiyo isifungwe kwa kuwa Maharusi...
  17. Mshana Jr

    Tanzania ya mitandaoni

    *1.Tanzania; Una mgonjwa mahututi ndani lakini unamuacha ili uwahi mazishi ya mtu aliekufa ambae hata sio ndugu yako!* *2. Tanzania; Mgeni akija nyumbani anakula vyakula vizuri kuliko familia yako na anatumia vyombo vizuri kuliko familia yako.* *3. Tanzania; Ukiugua Ukaomba michango utibiwe...
  18. okoyoko

    Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

    Hello guys, Hapo zamani kabla sijaijua dunia vizuri, nlikuwa napenda sana kukaa kwa ndugu kipindi cha likizo (shule zikifungwa) au kwenye familia ya marafiki zangu..nlikuwa nkijihis comfortable na happy kabisa kukaa kwa watu Mtazamo wangu kuhusu kukaa kwa watu ulibadilika baada ya mm...
Back
Top Bottom