Sisemi kwamba ni wakamilifu, lakini kwa matendo yao, wameonesha kuwa wanao uvumilivu mkubwa wa kisiasa, na hivyo ni sahihi au ilikuwa sahihi kwa wao kushika nafasi kubwa za kisiasa nchini.
Miongoni mwao ni hawa wafuatao:
1. Mzee Ally Hassan Mwinyi
2. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
3. Freeman...