Kwanini Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike nchini Salama Ngale inahairishwa hairishwa tu sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,119
1707336028876.png

Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.

Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.

Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
 
Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.

Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.

Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
Babu Harusi hiyo iache M23 vipi huko
 
Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.

Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.

Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
nami naungana nawe kumuombea itimie
 

Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.

Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.

Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
wanavyosema hunazo kumbe kweli. Mwanaume kwl rijali unaweza kufuatilia mambo ya harusi ya wenzio? Tukisema wamebaki wanaume wachache sana utabisha?
 

Mkiambiwa jitahidini sana kuwa Wasiri kwa Mambo / Mipango yenu hasa ile ya Ndani kwani Waswahili tuna Kijicho ( Husuda ) hasa kwa Maendeleo / Mafanikio ya Wengine huwa hamtuelewi tu.

Haiingii Akilini yaani Harusi ya Mchambuzi mahiri wa Kike wa Soka nchini Salama Ngale mpaka sasa imeshahairishwa karibu mara Nne huku Mwenyewe akiona ni Jambo la kawaida wakati Wakongwe tumeshaona kuwa ina Nuksi na kwamba hata ikitokea Wakaoana / Ikafungwa kuna Uwezekano hata isije ikadumu.

Hata hivyo GENTAMYCINE kwa nia njema kabisa namuombea Bi. Salama Ngale na huyo Mchumba wake ( Mumewe ) mtarajiwa kila la kheri katika Mipango ya mwisho mwisho kuelekea Kufunga kwa Ndoa hiyo.
Inakuhusu nini wewe idiot?
 
Back
Top Bottom