GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,694
- 6,396
Sisemi kwamba ni wakamilifu, lakini kwa matendo yao, wameonesha kuwa wanao uvumilivu mkubwa wa kisiasa, na hivyo ni sahihi au ilikuwa sahihi kwa wao kushika nafasi kubwa za kisiasa nchini.
Miongoni mwao ni hawa wafuatao:
1. Mzee Ally Hassan Mwinyi
2. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
3. Freeman Aikaeli Mbowe
4. Edward Ngoyai Lowassa
5. Mzee Joseph Warioba
Eleza kwa nini unaamini kuwa watajwa wameonesha uvumilivu wa kisiasa.
Miongoni mwao ni hawa wafuatao:
1. Mzee Ally Hassan Mwinyi
2. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
3. Freeman Aikaeli Mbowe
4. Edward Ngoyai Lowassa
5. Mzee Joseph Warioba
Eleza kwa nini unaamini kuwa watajwa wameonesha uvumilivu wa kisiasa.