Pentagon ya Marekani yaanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Syria, Iraq baada ya vifo vya wanajeshi

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,200
PENTAGON : MAREKANI YAANZA MASHAMBULUZI YA KULIPA KISASI KWA KUPIGA NGOME ZA VIBARAKA WA IRAN NCHINI IRAQ NA SYRIA.

SPECIAL REPORT

View: https://m.youtube.com/watch?v=ckOSPG_A8AI
Marekani yashambulia mgambo vikaragosi vya Iran ambao walishambulia ngome ya askari wa Marekani nchini Jordan na kusababisha vifo vya askari 3 wa marekani huku wengine 34 walijeruhiwa.

Shambulizi la kutoka angani kwa njia ya drone kulenga majeshi ya Marekani, ni hatua ambayo Marekani inasema inataka kutoa onyo kali kwani halijawahi kutokea hivyo Pentagon makao makuu ya wizara ya ulinzi ya Marekani inataka kutuma ujumbe mzito kwa mgambo vikaragosi na wafadhili wao wa Iran.

Mashambulizi hayo ya Marekani yameanza mara baada ya kuagwa kwa askari watatu wa Marekani kuangwa kwa heshima zote za kijeshi leo ijumaa tarehe 2 February 2024 yaliyofanyika katika kambi ya jeshi la anga la Marekani Dover Air Force Base iliyopo Delaware nchini Marekani

View: https://m.youtube.com/watch?v=6KXgKWbPXlw

Marekani inatumia ndege aina ya B1 Bomber yenye uwezo wa kubeba 75,000 pounds ya milipuko kuhakikisha inaharibu miundo-mbinu, ngome na hifadhi za mgambo vikaragosi na wafadhili wao waliojichimbia kuongoza mashambulizi dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani zilizopo Jordan, Syria na Iraq

View: https://m.youtube.com/watch?v=Wh18_bqX-v4


02 February 2024

The US military struck back late Friday at Iranian proxies in Syria and Iraq in retaliation for a drone attack last weekend that killed three US Army soldiers in Jordan, the Pentagon announced.

The strikes began a little more than an hour after the conclusion of a dignified transfer ceremony honoring the three soldiers at Dover Air Force Base in Delaware.
 
Uwezo wanao, nguvu wanazo na wana nia pia ya kupiga na wanapiga......
Iran imetafutwa sana kwa nguvu zote na imejiingiza yenyewe na kunasa...

US says strikes in Iraq and Syria hit over 85 targets linked to Iran’s IRGC

The US military issues a statement confirming American aircraft have carried out strikes in Iraq and Syria, following a deadly drone attack blamed on an Iran-backed militia group.

According to a CENTCOM statement, American forces — including long-range bombers that flew from the United States — hit over 85 targets linked to Iran’s Islamic Revolutionary Guards Corps

“The facilities that were struck included command and control operations, centers, intelligence centers, rockets, and missiles, and unmanned aired vehicle storages, and logistics and munition supply chain facilities of militia groups and their IRGC sponsors who facilitated attacks against US and Coalition forces,” the statement says.
 
Uwezo wanao, nguvu wanazo na wana nia pia ya kupiga na wanapiga......
Iran imetafutwa sana kwa nguvu zote na imejiingiza yenyewe na kunasa...

US says strikes in Iraq and Syria hit over 85 targets linked to Iran’s IRGC

The US military issues a statement confirming American aircraft have carried out strikes in Iraq and Syria, following a deadly drone attack blamed on an Iran-backed militia group.

According to a CENTCOM statement, American forces — including long-range bombers that flew from the United States — hit over 85 targets linked to Iran’s Islamic Revolutionary Guards Corps

“The facilities that were struck included command and control operations, centers, intelligence centers, rockets, and missiles, and unmanned aired vehicle storages, and logistics and munition supply chain facilities of militia groups and their IRGC sponsors who facilitated attacks against US and Coalition forces,” the statement says.
vipi wameuwa wanajeshi wa Irani?
 
Wamepiga Syria na huko Iiraq hawajathubutu kupiga Iran kwenyewe..Iran itahitimisha kazi ya kupata Nuclear hivi karibuni..Wako karibu sanaa kuipata Nuclear siku wakifanikiwa ujue hamna kenge atasogea pale....Iran sio wajinga wanakwenda kwa mkakati mzito sana wana akili sio malofa kama sisi hatujielewi... Ndio mana Warundi wanapewa nafasi
 
vipi wameuwa wanajeshi wa Irani?

Iran imekua ikitorosha wanajeshi wake wote walioko huko nje na kuwarudisha nyumbani.....juzi imejitetea kwamba mashambulizi yaliyofanywa na wale magaidi wa dini yenu hawakuagizwa na Iran, hivyo bado hapajapatikana sababu ya kumpiga ndani.
Kinachofanywa kwa sasa ni kupiga kila chochote chenye maslahi yake huko nje, yaani kote kote, Iran juzi ilitoa mikwara kwamba interest zake zikiguswa tu, watafanya kit, haya wafanye sasa.
 
Katika mashambulizi haya kulenga Targets, 85,zilihusishwa Bombers zikitokea moja kwa moja Marekani mpaka Mashariki ya Kati. Sijui yale machumachuma ya urusi, S-300/400,yalikuwa yamelala usingizi wa pono huko Syria? 🤔
Apige Iran nasio huko kwingine.
 
Back
Top Bottom