Taifa Stars kurudi nchini kwa Awamu (Mafungu)

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Katibu mkuu wa wizara ya Utamaduni, sanaa na Michezo Gerson Msigwa, amesema timu ya taifa "Taifa Stars" itarudi nchini kwa makundi na sio kwa pamoja

"Kuna changamoto kidogo ya usafiri. Hatukufanikiwa kupata tiketi za timu nzima kwa mara Moja kwahiyo walioanza kuwasili nchini jana ni wachezaji na viongozi 15. Kuna baadhi yao watafika Leo wengine kesho. Nadhani kundi la mwisho watawasili kesho. Pia kuna wachezaji ambao wamerejea Moja kwa Moja kwenye nchi ambako timu zao wanazochezea" amesema Gerson Msigwa

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
 
Katibu mkuu wa wizara ya Utamaduni, sanaa na Michezo Gerson Msigwa, amesema timu ya taifa "Taifa Stars" itarudi nchini kwa makundi na sio kwa pamoja

"Kuna changamoto kidogo ya usafiri. Hatukufanikiwa kupata tiketi za timu nzima kwa mara Moja kwahiyo walioanza kuwasili nchini jana ni wachezaji na viongozi 15. Kuna baadhi yao watafika Leo wengine kesho. Nadhani kundi la mwisho watawasili kesho. Pia kuna wachezaji ambao wamerejea Moja kwa Moja kwenye nchi ambako timu zao wanazochezea" amesema Gerson Msigwa

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1

Maoni..? Kuhusu kurejea kwa Mafungu?

Na Yenyewe ni issue ya Kujadili..?

Kufika tutafika Lakini tukiwa tumechoka watz...!
 
Viongozi wako 15

Au jumla ya wachezaji na viongozi ni 15?


Viongozi=15

Viongozi+wachezaji=15
 
Pia kuna wachezaji ambao wamerejea Moja kwa Moja kwenye nchi ambako timu zao wanazochezea" amesema Gerson Msigwa

Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1
Hii ndiyo ilikuwa inatafutwa haijalishi ni timu daraja gani , na anacheza au hachezi mara kwa mara .
Ili Taifa stars nayo iwemo Kwenye kundi la wachezaji wa kulipwa nje .
 
Nilisikitika sana kusikia viongozi 15 aisee:oops::oops::oops:

Kam ni viongozi wa Siasa hapo itakuwa maajabu ila kama ni watu wa benchi la ufundi wala haishangazi,

Maana Timu tu ya Al ahly ya Misri yenyewe benchi lao la ufundi lina watu 32 ndo timu inayoongoza kwa africa kuwa na idadi ya viongozi wengi zaidi kwenye benchi la ufundi.
 
Kam ni viongozi wa Siasa hapo itakuwa maajabu ila kama ni watu wa benchi la ufundi wala haishangazi,

Maana Timu tu ya Al ahly ya Misri yenyewe benchi lao la ufundi lina watu 32 ndo timu inayoongoza kwa africa kuwa na idadi ya viongozi wengi zaidi kwenye benchi la ufundi.
Kwasisi ndugu yangu makada wa chama lazima waende
 
Tanzania mwaka Jana waliagiza/wanunua ndege ngapi? Kiranja mkuu anasjindwa kutoa amri tu timu ikachukuliwe na ndege. Huu ni udhaifu kwa waziri wa michezo.
Au kwa kuwa matokeo hayakuwa mazuri.???
 
Back
Top Bottom