mwezi

  1. T

    JamiiForums Tanzania Asante sana JamiiForums, naingiza zaidi ya 50,000 kwa mwezi

    Wakuu habari zenu, Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa uongozi mzima wa JamiiForums maana nimekuwa nikifaidika kila mwezi kwa kupata kipato cha kununulia vocha mjini. Niliweka post humu JF inayohusu kupeleka watu kwenye machimbo mbalimbali original ya bidhaa kwa bei ya jumla nikasema...
  2. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Ni lini nchi yetu itaanza kulipa watumishi kwa masaa badala ya malipo kwa mwezi?

    Serikali inatakiwa ibadili mfumo mzima wa maisha ya nchi hii na kwa wananchi wake. Hiyo mambo ya mwisho wa mwezi ni zilipendwa. Tumeshiklia kanuni za mkoloni zile zile kubadilika hatutaki. Serikali haina plan B miaka nenda miaka rudi. Sasa hivi watu wanajifanyia kazi kwa mazoea tu na si kwa...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

    Wanabodi, Heri ya Pasaka. Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu...
  4. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Marekani wameongoza kwa vifo vya Covid-19 ina watu 20466 wamefariki 1731 Jumamosi ya 11/4/20

    CORONAVIRUS 🇺🇸 The United States became the world leader in coronavirus deaths Saturday, a grim indicator of the country’s status as the global epicenter of the pandemic. As of Saturday evening, the U.S. had recorded about 526,396 COVID-19 cases and 20,577deaths, according to Johns Hopkins...
  5. beth

    JamiiForums Tanzania Japan: Waziri Mkuu, Shinzo Abe atangaza hali ya dharura kwa mwezi mmoja

    Waziri Mkuu Shinzo Abe ametangaza hali ya dharura kwa muda wa mwezi mmoja katika Mji Mkuu wa wa Japan, Tokyo pamoja na miji mingie sita ya Osaka, Kanagawa, Saitama, Chiba, Hyogo na Fukuoka Abe amesema Japana itakuwa na mkakati tofauti na nchi za Ulaya. Ameeleza kuwa ali ya dharura iliyotangazwa...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April

    Wakuu huu ni utabiri tu si kama ile ndoto ya mheshimiwa Lema hivyo nadhani si haba kuuweka hadharani. Utabiri huu unazingatia ukweli kuwa serikali ya awamu ya tano imesheheni wasomi wazamivu na wasomi wabobezi kweli kweli. Kwa ma PhD na ma Profesa wote wale chini ya mkuu mwenyewe ambaye pia ni...
  7. The Sheriff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CoronaVirus: Mgonjwa wa kwanza wa corona apona Kenya. Watumishi wa Serikali akiwemo Rais kupunguziwa mishahara

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa mtu wa kwanza amepona kabisa ugonjwa wa corona. ''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa. Idadi ya walioambukizwa ugonjwa wa corona nchini Kenya imefikia 28. Rais pia ametangaza hatua...
  8. Mikopo Chefuchefu

    JamiiForums Tanzania Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja!

    Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini. Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao...
  9. Masanjaone

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa mwezi March upo tayari

    Wapendwa mshahara umetoka nendeni mkachote hela mje mlipe madeni ya maji, na vibanda vya chakula. Msisahau nauli za watoto kurudi shule maana tarehe 17 imekaa kushoto.
  10. Marathon day

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mshahara wa Machi vipi? Watoto wanahitajika kurudi toka shuleni kwa likizo ya dharura

    Mshahara wa mwezi huu vp jamani watoto wanahitajika kurudi toka mashuleni kwa likizo ya dharura.
  11. Hero

    JamiiForums Tanzania Hebu tujuane tuliokumbwa na homa kali ilioambatana ni kikohozi na hata kushindwa kupumua katika mwezi 1 uliopita na tuelezane tulifanyaje

    Wiki 2 zilizopita yalinikuta hayo, nilipata homa kali sana iliambatana na kikohozi na koo kuuma. Pia kushindwa kupumua vizuri ikiambatana na kuchoka! Kwa mara ya kwanza katika miaka zaidi ya 15 nililala kitandani siku mbili, pumu si pumu, mafua si mafua, joto mpaka wife alikuwa ananipoza kwa...
  12. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwa mwezi huu mpaka Aprili 5 turudishe daladala zilizoondolewa njia za mwendokasi vinginevyo mtazika

    Kama tumedhamiria kujilinda mmoja ya msiba uliopo ni wapandaji wa mwendokasi Akitokea mgonjwa akapanda yale mabasi mtazika mpaka mkome kwa jinsi yanavyojaza hayana hewa nzuri. Nashauri Waziri husika wa Usafiri pote yanapopita mabasi ya mwendokasi turudishe zile daladala haya kuongeza uhuru wa...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Bunge la bajeti mwezi Aprili - Juni liendeshwe kidigitali fedha itayookolewa isaidie mapambano dhidi ya Corona

    Najua kwa uhakika wabunge wengi hawatapendezwa na ushauri huu ambavyo wakimbiza mwenge wa uvccm walivyochukizwa na hatua ya kusitisha mbio za mwenge lakini hakuna namna. Vikao vya bunge viendeshwe kwa njia ya mtandao na kwa bahati nzuri Spika Ndugai amewanunulia Computer wabunge wote. Fedha...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Njia pekee ya kuzuia CORONA Tanzania Ni kuzuia watu kuingia na kutoka nchini

    Ethiopia waligoma kuzuia safari China, Kuna cases 104 mwafrica 1 amekufa, Congo pia. Marekani wameshazuia, sisi haya mambo ya urafiki tuacheni, naiomba serikali nipo chini ya miguu yake wazuie safari zote, huu ugonjwa Ni mbaya. Corona ikija kutuua au kuua ndugu zetu CCM haitapona, nasema...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Habari njema za uchumi wa Tanzania kimataifa: IMF yakubali Magufuli anapiga kazi nzuri, kumuunga mkono kwa kuimwagia mabilioni ya maendeleo mwezi Mei

    Wanabodi, Angalizo la kuzuia kukereka. Kuna members humu wanakereka na kukasirika pale serikali ya Tanzania, au rais Magufuli na serikali yake anapofanya vizuri kustahili pongezi, Hivyo tusiharibiane siku leo mwanzo wa weekend, wewe kama uko kundi hili, naomba uishie hapa ili usije kuharibu...
  16. kitokololoo

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa mwezi Februari mbona umechelewa?

    Mshahara wa mwezi March mbona umechelewa??
  17. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Kila mwezi wanafunzi wa kike 16 wanapata mimba Dodoma

    Hii idadi siyo ndogo kuna haja ya jamii kuamshwa ili kutambua mchango wa elimu kwa Mtoto wa kike kwa kuangalia mrejesho wa elimu kwa mtu binafsi na kwa jamii yake "private rate of return and socia returns".. Elimu pia ina faida msambazo kwa jamii "spill over benefits".Kuna haja elimu ya...
  18. Z

    JamiiForums Tanzania AfroEast: Album itakayompleka KondeBoy o2 arena mwezi wa 6!

    Kondeboy juzi kafanya booking o2 arena. Sababu ni AFROEAST album. Humo ndani kuna nyimbo kwangaru ambao ndo wimbo mkubwa kuwah kutokea tz haufikiii. Yaani kuna hits songs hataree. Ikitoka hii headlines za dunia zitamuongelea kama BURNABOY.
  19. Bonde la Baraka

    JamiiForums Tanzania Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

    Mimi si tajiri ila nataka kuwafundisha utu na ubinadamu matajiri walioko JF. Nataka kijana mwaminifu mmoja kutoka Jf nimwazime 50 na airejeshe baada ya mwezi mmoja au miwili ili nimwazime mwingine. Changanua wazo lako na weka namba ya simu kama utapenda kuiweka hapa Kisha members wengine...
  20. F

    JamiiForums Tanzania Kaeni chonjo mwezi huu Februari kuelekea Oktoba 2020 uchaguzi mkuu

    Wengi wenu ni wasahaulifu wakubwa na hamuandiki matukio mbalimbali yanayotokea ili muweze kufanyia uchambuzi. Mimi nawakumbusha tu kwamba mwezi February 2010&2015 ulikuwa mwezi wa ajali nyingi sana, kila siku angalau basi moja lilipata ajali na watu kati ya 5 hadi 10 walipoteza maisha. Ajali...
Back
Top Bottom