Duh hivi ukifunga tunapaswa kujua!!!!!maana napata wazimu hela nshamilza
Nakumbuka ilikua tarehe 24 hiviTarehe kama ya leo mwezi wa nne ilikuwa tarehe ngapi?
Ukitaka siku ziende usiangalie kalenda wala saa mkuu,ishi kama uko msituni umepotea,na ukikaa na mtu anaulizia tarehe mkimbie usisubiri kusikia jibu...Huu mwezi wa 5 mbona naona kama hauendi yaani leo ndo kwanza tarehe 6? Au kwa kuwa ndo nimefunga na Ramdhani hii, maana napata wazimu hela nishamilza