wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Waziri wa Tamisemi amesisitiza watanzania waanze kujifukiza kama namna ya kujenga kinga katika kupambana na corona.
Ili jambo liwe na ufanisi amependekeza kuwe na wiki ya nyungu kwa maana ya wiki ya kujifukiza. Kama ambavyo mh Rais alipendekeza hivi karibuni.
Amesema tutumia,mipapai,miarobaini,miembe,mibuyu,michachai iwe chochote kile unachoamini kinafaa kujifukizia.
Hii itasaidia kuitokomeza corona.
Tusione haya kuwa ni ushirikina, Tujifukizie.
Corona ipo,zingatia taratibu za afya kadiri zinavyotolewa hata zile za WHO.
Ili jambo liwe na ufanisi amependekeza kuwe na wiki ya nyungu kwa maana ya wiki ya kujifukiza. Kama ambavyo mh Rais alipendekeza hivi karibuni.
Amesema tutumia,mipapai,miarobaini,miembe,mibuyu,michachai iwe chochote kile unachoamini kinafaa kujifukizia.
Hii itasaidia kuitokomeza corona.
Tusione haya kuwa ni ushirikina, Tujifukizie.
Corona ipo,zingatia taratibu za afya kadiri zinavyotolewa hata zile za WHO.