Utafiti wa kutisha, waliokaa Lockdown kwa mwezi mmoja au zaidi hatarini kufariki hata kwa bakteria na fangasi baada ya kutoka nje, kinga zashuka!

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,052
40,715
Mengi yanazidi kuibuka kuhusu sakata la Covid 19.

Wataalam wa afya wanasema, kinga ya mwanadamu ni kitu endelevu, hivyo kinajiimarisha na kujiboresha siku hadi siku kulingana na jinsi mazingira yanavyobadilika.

Wanasema jinsi binadamu anavyochangamana na wenzake kwa kugusana na kushikana mara kwa mara wanakuwa wanapeana vibacteria na vifungus kwa kiwango kidogo kidogo na hivyo kusaidia mwili wa kila mtu kujijengea kinga mara kwa mara kadri bacteria wapya wanavyoingia kwenye mfumo wake, na unakuta mwisho wa siku kila mtu anakuwa amepata kinga dhidi ya vijidudu husika.

Sasa inapotokea watu wamefungiwa ndani na hawachangamani , wananawa mikono kila saa, wanaziba pua na barakoa ni kwamba ile process ya kupena vibacteria na vijidudu vipya inakuwa imeacha, hivyo mwili unakuwa dormant na haupati tena changamoto za kuweza kuboresha kinga ya mwili, kwahiyo siku watakapoachiliwa toka lockdown na kuruhusiwa kuingia mtaani, mwili utaanza kukutana na vibacteria vioya vilivyo mutate kidogo tu, ila kwakuwa mwili ulikuwa haupati hivyo vibacteria in small doses na kujitengenezea kinga, basi utakuta vyote vinakupiga kwa wakati mmoja, na kwakuwa vyote ni vipya kwako basi utashangaa hata UTI inakurudishisha namba, ilihali hapo awali UTI ulikuwa huwezi hata kuifeel kama unayo.

Wataalam hao wamependekeza watu wasipewe chanjo wala dawa hata kama itapatikana, hadi watu wote wawe wamekwisha ambukizwa na kupona. Video chini ina ufafanuzi zaidi. Shikamoo JPM.
 
Ccm nikama mtoto anayejifunza kuongea kila siku kubwabwaja Jana mchattle kaongea Pumba watu wakabidi wamsubiri waziri mkuu aongee hili kupoteza pumba za mchattle.
 
Mgonjwa aliyelazwa muda mrefu ICU akipona ugonjwa ulimuweka humo na kurejea nje huwa mwenye afya tele na hababaishwi na bacteria na kinga yake huwa imara.

kwa sabab kingamwili zake zimepata releaf dhidi ya mapambano ya ugonjwa uliomweka ICU HAPO VIPI?
 
Kaweka na avatar ya Mwl. Nyerere kabisa! Kaka umeandika pumba tupu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mgonjwa aliyelazwa muda mrefu ICU akipona ugonjwa ulimuweka humo na kurejea nje huwa mwenye afya tele na hababaishwi na bacteria na kinga yake huwa imara.

kwa sabab kingamwili zake zimepata releaf dhidi ya mapambano ya ugonjwa uliomweka ICU HAPO VIPI?
Huko ICU huwa anatembelewa na ndugu wangapi kwa siku?
 
Icu sio ward ya kawaida kila mtu ajiingilie tu kwa misingi hiyo hata walioko lockdown bado wanagusana na kubadilishana bacteria
Then hata ICU akitoka shida iko pale pale, na kama lockdown wanabadilishana bacteria basi hata Corona wanabadilishana na hivyo lockdown ni kupoteza muda
 
Mengi yanazidi kuibuka kuhusu sakata la Covid 19.

Wataalam wa afya wanasema, kinga ya mwanadamu ni kitu endelevu, hivyo kinajiimarisha na kujiboresha siku hadi siku kulingana na jinsi mazingira yanavyobadilika.

Wanasema jinsi binadamu anavyochangamana na wenzake kwa kugusana na kushikana mara kwa mara wanakuwa wanapeana vibacteria na vifungus kwa kiwango kidogo kidogo na hivyo kusaidia mwili wa kila mtu kujijengea kinga mara kwa mara kadri bacteria wapya wanavyoingia kwenye mfumo wake, na unakuta mwisho wa siku kila mtu anakuwa amepata kinga dhidi ya vijidudu husika.

Sasa inapotokea watu wamefungiwa ndani na hawachangamani , wananawa mikono kila saa, wanaziba pua na barakoa ni kwamba ile process ya kupena vibacteria na vijidudu vipya inakuwa imeacha, hivyo mwili unakuwa dormant na haupati tena changamoto za kuweza kuboresha kinga ya mwili, kwahiyo siku watakapoachiliwa toka lockdown na kuruhusiwa kuingia mtaani, mwili utaanza kukutana na vibacteria vioya vilivyo mutate kidogo tu, ila kwakuwa mwili ulikuwa haupati hivyo vibacteria in small doses na kujitengenezea kinga, basi utakuta vyote vinakupiga kwa wakati mmoja, na kwakuwa vyote ni vipya kwako basi utashangaa hata UTI inakurudishisha namba, ilihali hapo awali UTI ulikuwa huwezi hata kuifeel kama unayo.

Wataalam hao wamependekeza watu wasipewe chanjo wala dawa hata kama itapatikana, hadi watu wote wawe wamekwisha ambukizwa na kupona. Video chini ina ufafanuzi zaidi. Shikamoo JPM.
View attachment 1453359
HE Magufuli was right from the start
 
Katoto kanguu kalianza shule ya awali kakaumwa Sana mapele na homa homa nikaibuka shule nika wauliza walimu mtoto anaumwa mapele akipona mafua mara atokwe na vipele kwenye makalioa mbona tunalipa pesa nyingi mnashindwa kuweka mazingira safi kwa watoto!
Akaniambia vyoo vyao vina fanyiwa usafi Mara 3 au zaidi kwa siku twende ukaone!
Kweli visafi!!
Akaniambia huyu mtoto alikuwa hatoki ndani ndio maana anapata shidah!
Akasema wanalijuwa hilo kwaiyo Ana miezi si chini ya 2 au 3 atakaa sawa!
UMENIKUMBUSHA MBALI MKuu nina unga mkono hoja 100%
Kama mtoto anakula ata mboga 10 kama hatoki kujichanganya utakapo mpeleka shule ukikutana na hilo usilaum maana niliwaza kumbadilisha shule kwa sasa ninavyo andika haha nina mtizama nina cheka!
 
Back
Top Bottom