Mwalimu kp
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 574
- 486
Habari zenu Wakuu,
Jana jioni nilipata taarifa kutoka kwa rafiki yangu mmoja. Kuwa mshahara was mwezi April, mwaka 2020 umeshatoka.
Na yeye alitumiwa message kupitia NBC Bank
Je, kuna ukweli au uhakika wa taarifa hii?
Kama ni ya kweli, kongole kwa Rais Magufuli!
Jana jioni nilipata taarifa kutoka kwa rafiki yangu mmoja. Kuwa mshahara was mwezi April, mwaka 2020 umeshatoka.
Na yeye alitumiwa message kupitia NBC Bank
Je, kuna ukweli au uhakika wa taarifa hii?
Kama ni ya kweli, kongole kwa Rais Magufuli!