WHO walitabiri hadi kufika katikati ya Mei maiti zitakuwa zinazagaa katika mitaa na vichochoro vyote katika Bara la Afrika kutokana na COVID-19

daza steven

JF-Expert Member
Aug 30, 2016
359
357
Huo ulikuwa utabiri wa mke wa mzungu ambaye ni tajiri mkubwa dunia mama Melinda Getes ambapo utabiri wake ulipaliliwa na shirika la afya duniani WHO.

Utabiri huo haukuishia hapo ulikwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ugonjwa wa Korona utaipiga Afrika barabara yaani thelusi 3 ya watu weusi Afrika watakuwa wamefarika dunia kufikia mwishoni mwa mwezi wa 5, Afrika itakuwa imekwisha

Hawa ni watabiri wa kizungu ambao hawajawai kuitakia mema Afrika hata siku moja yaani tangia utumwa hadi ukoloni na leo ukoloni mamboleo ndiyo mjie nduguzangu

Hebu tuangalie takwimu za dunia za maabukizi na vifo hadi sasa
  • Watu walio ambukizwa duniani kote hadi sasa ni (5,900,000) milioni tano na laki tisa dunia nzima. Watu waliofarika dunia ni (360000) lakitatu na sitini duniani.
  • Marekani pekee ambapo anatokea mtabiri mama Melinda maambukizi ni (1,900.000) Milioni moja na laki tisa na vifo vinazidi (100,000)
  • Kule kwa Marikia Eliza Uingereza maambukizi ni 270,000 na vifo ni 37,000
  • Ispania maambukizi ni 280000 na vifo ni 27,000
  • France maambukizi ni 186,000 na vifo ni 28,662
Sasa tuangalie bara la Afrika. Bara zima la Afrika ambalo lina nchi kama 52 linamaambukizi 125,000 na vifo 3000 na Mungu awalaze mahari pema peponi amina.

Sasa chukua 5,900,000 - 125,000 = 5,775,000 haya ni maambukizi nje ya Afrika. Vifo 360,000 - 3000 = 357,000 hivi ni vifo nje ya bara la Afrika hii ni sawa na 0.1% iweje maiti zizagae washindwe.

Laanah turwalaa.
 
mkuu acha habari za mitandaoni chukua tahadhari zako binafsi, usihangaike na watu
 
Tuendelee kuchukua tahadhari tu,ule utabiri ulikuwa ni sehemu ya kuliombea mabaya bara la Afrika kwa sababu tu Afrika ilitakiwa kugeuzwa bucha kisha duka.
 
Bill Gates ni miongoni mwa wafadhiri wa mradi huu wa corona akishirikiana na WHO, tuchukue tahadhari
 
alafu tulivowajinga ndo tunawafanya muongozo katika janga ambalo wanatuombea mabaya
 
Bora wazungu walio tabili na haikutokea kuliko awa jamaa wanao itwa wapinzan wao wanasema Hali ni mbaya watu wanakufa kila siku mait zimezagaa mitaan Sasa najiuliza izo mait wanazo ziona wao Kwann wengine hatuzion
 
Siyo utabiri, WHO was speaking from history of past pandemics! supported by modern scientific theories of disease epidemiology
How 5 of History’s Worst Pandemics Finally Ended


The plague decimated Constantinople and spread like wildfire across Europe, Asia, North Africa and Arabia killing an estimated 30 to 50 million people, perhaps half of the world’s population.

“People had no real understanding of how to fight it other than trying to avoid sick people,” says Thomas Mockaitis, a history professor at DePaul University. “As to how the plague ended, the best guess is that the majority of people in a pandemic somehow survive, and those who survive have immunity.”
 
Back
Top Bottom