rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,161
- 20,087
Niende kwenye mada kuna kijana kaniomba nimuelekeze wapi zilipo ofisi ya chama cha wafanyakazi kutokana na yeye kuwa na mgogoro na mwajili wake yaani TUCTA.
Kwa kuwa ni mfanyakazi kwenye huduma za mahotel nilimweleza TUCTA ni muunganiko wa vyama vya wafanyakazi toka sekta tofauti ila yeye anatakiwa akaonane na CHODAWU ambayo inahusika na sekta yake.
Akaniomba nimsaidie wpi zilipo ofisi za CHODAWU ili aende kuziona, nikaingia google ili nitafute hizi ofisi kwa kujua umuhimu wa hicho chama nilitegemea taarifa zake nitazikuta lakini cha ajabu hakuna taarifa yoyote niliyokuta inayoweza kusaidia wapi ofisi ilipo au hata tovuti yao hii ilinishangaza kwanini chama kama hicho hakioni umuhimu wa kuwa na tovuti kipindi hiki cha digital au michango ya wanachama wao wanaifanyia nini zaidi ya kulipana posho
Kwa kuwa ni mfanyakazi kwenye huduma za mahotel nilimweleza TUCTA ni muunganiko wa vyama vya wafanyakazi toka sekta tofauti ila yeye anatakiwa akaonane na CHODAWU ambayo inahusika na sekta yake.
Akaniomba nimsaidie wpi zilipo ofisi za CHODAWU ili aende kuziona, nikaingia google ili nitafute hizi ofisi kwa kujua umuhimu wa hicho chama nilitegemea taarifa zake nitazikuta lakini cha ajabu hakuna taarifa yoyote niliyokuta inayoweza kusaidia wapi ofisi ilipo au hata tovuti yao hii ilinishangaza kwanini chama kama hicho hakioni umuhimu wa kuwa na tovuti kipindi hiki cha digital au michango ya wanachama wao wanaifanyia nini zaidi ya kulipana posho