UTANGULIZI:
KUREJESHWA KWA SH. 10,000,000/= ZILIZOCHUKULIWA KWA UTARATIBU WA MIKOPO INAYOUMIZA WAKOPAJI
Mnamo tarehe 21.05.2020 Ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza ilipokea taarifa kutoka kwa Mwalimu Mstaafu aitwaye AUGUSTINE JOSEPH NGOWI kuwa amedhulumiwa mafao yake ya kustaafu...
Tangu Serikali na Rais Magufuli atangeze kuwa Tanzania imeingia uchumi wa kati, jiji la Mwanza limekumbwa na uhaba mkubwa wa huduma ya maji!
WanaCCM wakiulizwa kulikoni uchumi huu wa kati na adha ya maji, wao wanajibu hizo ni juhudi za Rais Magufuli!
Leo pia jiji wamepita wakiwatangazia...
Mkazi wa Isamilo Mwanza atuhumiwa kuwabaka na kuwalawiti watoto watano
WATOTO watano wenye umri Kati ya miaka sita hadi saba wamebakwa na kulawitiwa kwa nyakati tofauti katika mtaa wa Isamilo msikitini kata ya Isamilo wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.
Watoto hao ambao majina yao...
Story ipo hivi huyo dada nilikutana naye pande flani hivi maeneo ya Sokoni ilikuwa Jumapili jioni, nikamwomba namba akanitoa kiroho safi. Mahusiano yetu yakaanza tumekaa kama miezi mitatu kama sikosei.
Sikuwa namtafuta maana namba yake ilikuwa haipatikani mpaka nikaona ngoja nitulie kwanza, ila...
Leo nilitakiwa nipate huduma katika Tawi hilo kwa kulipia mapato ya TRA lakini nilipofika pale sikuamini macho yangu. Tawi lile lina madirisha matano ya kutolea huduma lakini ni dirisha moja tu ndilo lililokuwa na mtumishi wao anayetoa huduma.
Wateja tulikuwa zaidi ya 200 na wengi wa wateja...
Leo Bwana Dotto James kapokea mkopo mpya wa zaidi ya shilingi bilioni 500 toka ufaransa kwa ajili ya miradi ya umeme wa REA na miradi ya maji jijini Mwanza.
Chanzo: RFA habari
===
Ufaransa yaipa Tanzania bil. 600/- za miradi mitatu
SERIKALI ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD)...
Mgombea urais mtarajiwa wa Chadema mh Lazaro Nyalandu kesho saa 11.00 jioni atazindua kampeni zake za kutafuta kuteuliwa na chama chake jijini Mwanza.
Nyalandu ataendesha kampeni zake kwa njia ya kidigitali kwahiyo wanachadema wote mnaombwa ushirikiano wenu.
Safari imeanza.
Maendeleo hayana...
Akitoa taarifa hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Dk. Severine Lalika "Kwa mujibu wa taarifa kutoka Jeshi la Polisi mkoani Mwanza inasema kuwa kwa mwaka huu kuanzia Januari hadi Machi jumla ya matukio ni 234 yariripotiwa ambapo kati yao Wavulana...
Kwa madalali wote wa Mwanza; ninatafuta kiwanja cha eka moja karibu na ziwani Nyegezi.
Wasiliana nami kwa PM ukionyesha picha ya google maps kuonyesh eneo la kiwanja chako.
Napenda maeneo karibu na SAUT au Royal Sunset
Watu nane wamefariki dunia na watano kujeruhiwa baada ya Lori kugonga trekta jana usiku.
Baada ya trekta kugongwa ilihama njia na kwenda kuigonga Hiace katika eneo la Kisesa, Magu mkoa wa Mwanza.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Meneja TARURA Nyamagana anachukua "Ten percent" kilio barabara Isamilo Mwanza
Hii ni hatari, katika barabara ya Isamilo kata ya Isamilo Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, watembea kwa miguu hawana eneo lao maalumu la kutembelea.
Eneo ambalo limewekwa msitari kwa ajili yao ni finyu na hatari...
Iweje jiji dogo kama la Mbeya waweze kuwa na usafiri hadi jioni lakini jiji kubwa kama Mwanza washindwe kuwa na usafiri wa uhakika wa kutoka Mwanza -Dar (jioni)
Sio wote tuna uwezo wa kukwea mwewe jamani. wekeni coaster jioni jamani walau mara 2 kwa wiki!
Wadau wa usafirishaji hii imekaaje...
Licha ya Tanzania kuongoza Afrika Mashariki kwa wageni wanaotalii mbugani, bado Utalii wa Ndani, umeendelea kuwa chini kulinganisha na Nchi nyingine kama Kenya na hivyo kuendelea kudumaaa kwa Sekta ya Usafirishaji na ya Huduma hasa Mahoteli katika maeneo yaliyo mbali na Kanda Kuu za Kiutalii...
RPC wa Mwanza Jumanne amesema jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomtukana na kutaka kumpiga Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara.
RPC Jumanne amesema Bwire amekamatwa baada ya kushindwa kuitikia wito wa polisi uliomtaka afike...
Salaam kwenu wote wana jamvi
Haya ni mambo machache kuhusu wilaya/kisiwa cha Ukerewe.
Maelezo mafupi
UKEREWE ni moja wapo ya wilaya zinazounda mkoa wa Mwanza. Pia ni miongoni mwa wilaya za mwanzo mwanzo (kongwe) kuanzishwa nchini Tanzania. Wilaya ya Ukerewe ina ukubwa wa eneo wa kilometa za...
Habari kubwa mitandaoni ni Naibu Waziri ndugu Waitara kukoswakoswa na kipondo cha haja kutoka kwa wananchi.
Naibu Waziri alionekana akizongwazongwa na akiwa na hofu kubwa, hakuwa na ulinzi wa mgambo wala Polisi wakati akisakamwa na wananchi hao
Hakuwepo Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa WIlaya, RPC wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.