Wakuu,
John Mongella kawa mkuu wa mkoa wa Mwanza kwa muda sasa, lakini cha ajabu hakuna jipya lolote aliloonyesha hususa ni Mwanza jiji ambapo ndio kioo cha Mkoa mzima wa Mwanza.
Jiji la Mwanza kwa sasa lipo hovyo hovyo sana halina mpangilio wowote ukilinganisha na lilivyokua kipindi cha nyuma kabla ya ujio wake.
Mitaa ya jiji sasaivi ni michafu sana inanuka, hadi swala la usafi tu limemshinda Mongella.
Ikumbukwe kipindi cha nyuma mwanza iliwai kuwa jiji la kwanza East Africa kwa usafi, lakini hivi sasa chini ya Mongela mwanza imebadilika sana ndio jiji chafu zaidi Tanzania.
Tembelea maeneo mbalimbali ya jiji mambo ni ovyo barabara nyingi sasaivi hazina Taa ni giza tu,
Bustani za Bismark pale Kamanga zilikuwa ni maarufu sana na zilikua na muonekano mzuri hata kuvutia watalii na watu mbalimbali kuja kufanyia shooting lakini hivi sasa zimekua ni vichaka na madimbwi ya maji.
Maeneo yliyokuwa yanapitiwa na reli kuelekea chakechake sasaivi ni mapoli makubwa wakati yapo jijini kabisa.
Mitaa ya jiji imegeuka dampo kana kwamba mkuu wa mkoa huwa hatembelei hata kuangalia jiji lake, vifusi vya matope na takataka vimetapakaa jijini zaidi ya miezi, mvua inanyesha inasambaza.
Kiufupi Mongella hana jipya aliloleta Mwanza
ubunifu wake ni zero
Heri hata Paul Makonda angeletwa Mwanza akamfundisha Mongella nini maana ya ukuu wa mkoa.
ukiingia Mwanza jijini katikati, mambo ni hovyo na shaghala bagala kabisa...
Ukiachilia uchafu wa taka taka zilizozagaa ovyo, pia kuna ishu ya wachuuzi na wafanya biashara ndogondogo za kupanga barabarani...
Ukiingia ktk barabara za Mwanza kwa sasa, haieleweki magari yatembelee wapi, waenda kwa miguu watembelee wapi na baiskeli na pikipiki zitembelee wapi...
Ni kwamba, hawa wafanya biashara barabara zote zimekuwa ni maeneo ya biashara mpaka inakera kwa kweli...
Imefika mahali hata polisi wa usalama barabarani wanashindwa kufanya kazi yao ya usalama Wa vyombo vya moto, raia na mali zao kwa sababu ya muingiliano huu...
Kuna kila dalili na sababu kuwa, hili Luna kibali cha wanasiasa...
Sasa hii ni mbaya na hatari sana kama tunaweza kuingiza siasa ktk mambo hata yahusuyo usalama na maendeleo ya wananchi...
Kufanya mambo yetu ovyo hovyo bila utaratibu kamwe siyo ustaarabu hata kidogo bali ni ujinga na kichocheo cha umasikini zaidi...
John Mongella kawa mkuu wa mkoa wa Mwanza kwa muda sasa, lakini cha ajabu hakuna jipya lolote aliloonyesha hususa ni Mwanza jiji ambapo ndio kioo cha Mkoa mzima wa Mwanza.
Jiji la Mwanza kwa sasa lipo hovyo hovyo sana halina mpangilio wowote ukilinganisha na lilivyokua kipindi cha nyuma kabla ya ujio wake.
Mitaa ya jiji sasaivi ni michafu sana inanuka, hadi swala la usafi tu limemshinda Mongella.
Ikumbukwe kipindi cha nyuma mwanza iliwai kuwa jiji la kwanza East Africa kwa usafi, lakini hivi sasa chini ya Mongela mwanza imebadilika sana ndio jiji chafu zaidi Tanzania.
Tembelea maeneo mbalimbali ya jiji mambo ni ovyo barabara nyingi sasaivi hazina Taa ni giza tu,
Bustani za Bismark pale Kamanga zilikuwa ni maarufu sana na zilikua na muonekano mzuri hata kuvutia watalii na watu mbalimbali kuja kufanyia shooting lakini hivi sasa zimekua ni vichaka na madimbwi ya maji.
Maeneo yliyokuwa yanapitiwa na reli kuelekea chakechake sasaivi ni mapoli makubwa wakati yapo jijini kabisa.
Mitaa ya jiji imegeuka dampo kana kwamba mkuu wa mkoa huwa hatembelei hata kuangalia jiji lake, vifusi vya matope na takataka vimetapakaa jijini zaidi ya miezi, mvua inanyesha inasambaza.
Kiufupi Mongella hana jipya aliloleta Mwanza
ubunifu wake ni zero
Heri hata Paul Makonda angeletwa Mwanza akamfundisha Mongella nini maana ya ukuu wa mkoa.
ukiingia Mwanza jijini katikati, mambo ni hovyo na shaghala bagala kabisa...
Ukiachilia uchafu wa taka taka zilizozagaa ovyo, pia kuna ishu ya wachuuzi na wafanya biashara ndogondogo za kupanga barabarani...
Ukiingia ktk barabara za Mwanza kwa sasa, haieleweki magari yatembelee wapi, waenda kwa miguu watembelee wapi na baiskeli na pikipiki zitembelee wapi...
Ni kwamba, hawa wafanya biashara barabara zote zimekuwa ni maeneo ya biashara mpaka inakera kwa kweli...
Imefika mahali hata polisi wa usalama barabarani wanashindwa kufanya kazi yao ya usalama Wa vyombo vya moto, raia na mali zao kwa sababu ya muingiliano huu...
Kuna kila dalili na sababu kuwa, hili Luna kibali cha wanasiasa...
Sasa hii ni mbaya na hatari sana kama tunaweza kuingiza siasa ktk mambo hata yahusuyo usalama na maendeleo ya wananchi...
Kufanya mambo yetu ovyo hovyo bila utaratibu kamwe siyo ustaarabu hata kidogo bali ni ujinga na kichocheo cha umasikini zaidi...