Eti usiwe dalali.Habari wanna jf...
Kuna mtu anahitaji chumba cha kupanga mwanza mjini kama unacho au unafaham kinapopatikana naomba unijuze ila usiwe dalali
chumba kinachohitajika ni cha 30,000 kiwe katika hali nzuri
Kuna chumba mtaa wa rwegasole ila tsh50,000/= ni self na kachumba kadogo ambacho waweza tumia kama jiko njoo pm tuwasilianeHabari wanna jf...
Kuna mtu anahitaji chumba cha kupanga mwanza mjini kama unacho au unafaham kinapopatikana naomba unijuze ila usiwe dalali
chumba kinachohitajika ni cha 30,000 kiwe katika hali nzuri.
Kuna chumba mtaa wa rwegasole ila tsh50,000/= ni self na kachumba kadogo ambacho waweza tumia kama jiko njoo pm tuwasiliane
Anaetafuta ni ke au Me?Habari wanna jf...
Kuna mtu anahitaji chumba cha kupanga mwanza mjini kama unacho au unafaham kinapopatikana naomba unijuze ila usiwe dalali
chumba kinachohitajika ni cha 30,000 kiwe katika hali nzuri.
Kina tires mkuu?Kuna chumba mtaa wa rwegasole ila tsh50,000/= ni self na kachumba kadogo ambacho waweza tumia kama jiko njoo pm tuwasiliane