Mwanza: Wazee waitikia wito wa uhakiki mafao

vvm

JF-Expert Member
Jul 18, 2014
6,311
10,352
Wazee wetu huko Mwanza wameitikia kwa nguvu kubwa ombi la serikali kuhakiki taarifa kwaajili ya malipo ya Mafao yao, Ushauri wangu ni wasiwasimamishe wazee wetu hivi kwa foleni waanzishe utaratibu ambao ni rafiki kwa afya na nguvu za wazee wetu.

5838E480-D6BF-43A0-8E5A-D0D01975C24A.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom