Mwanza: Wazee waitikia wito wa uhakiki mafao

Mwanza: Wazee waitikia wito wa uhakiki mafao

X-Agent

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
8,845
Reaction score
16,723
Wazee wetu huko Mwanza wameitikia kwa nguvu kubwa ombi la serikali kuhakiki taarifa kwaajili ya malipo ya Mafao yao, Ushauri wangu ni wasiwasimamishe wazee wetu hivi kwa foleni waanzishe utaratibu ambao ni rafiki kwa afya na nguvu za wazee wetu.

5838E480-D6BF-43A0-8E5A-D0D01975C24A.jpeg
 
Back
Top Bottom