Napenda sana kusafiri kujifunza maisha na watu wapoje.
Ila nimejifunza kuhusu maisha ya Mwanza.
Mwanza ni mji ambao kama umechelewa kidogo japo ni mji.unazidi kuongezeka na idadi ya watu kuwa wengi sana.
Kuna maeneo kipindi cha miaka 9 iliyopita ni ngumu kukuta watu,makazi,sehemu za starehee...