Sasa umeongea nini na mleta uzi amesema niniUongo uongo uongo uongoo kutuma mtandao sawa ni tshs 14,400 kutuma kwenda mtandao washirika ni Tsh 15,400 kutoa tshs 17,400
uyo wa Milion moja unapo mtumia ili yeye aweze kupata hiyo pesa kama ilivo manaake inapaswa utume na ya kutolea makato ya kutuma plus ya kutolea jumla yake ni 31k+, uko usi take kubisha hapaaUongo uongo uongo uongoo kutuma mtandao sawa ni tshs 14,400 kutuma kwenda mtandao washirika ni Tsh 15,400 kutoa tshs 17,400
Du!Tayar Tushapigwa kitu kizito View attachment 1903521
Ukituma hela NCHALETayar Tushapigwa kitu kizito View attachment 1903521
CCM ni jangaHebu tuwe serious na maisha nyie Wana ccm hivi mnaona sahihi haya MAKATO ya MIAMALA? Imagine nikitaka kufanya transaction ya milioni moja ni 40,000/= hii ni nauli ya Msamvu mpaka Nyegezi stand au stand ya Nato.
NATO duuuHebu tuwe serious na maisha nyie Wana ccm hivi mnaona sahihi haya MAKATO ya MIAMALA? Imagine nikitaka kufanya transaction ya milioni moja ni 40,000/= hii ni nauli ya Msamvu mpaka Nyegezi stand au stand ya Nato