Kwa yaliyotokea Mwanza kwa utawala huu kama ilivyokuwa kwa awamu ile, hakuna jipya.
Nisiache kumlilia hayati baba wa Taifa (rip) kiongozi mzalendo aliyejawa haiba zote za haki, uhuru na usawa:
Kudai haki, uhuru, demokrasia na maendeleo hakujawahi kuwa rahisi. Ni jukumu zito la kizalendo na...