Maisha ya Mwanza na wakazi wake

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,721
Napenda sana kusafiri kujifunza maisha na watu wapoje.

Ila nimejifunza kuhusu maisha ya Mwanza.

Mwanza ni mji ambao kama umechelewa kidogo japo ni mji.unazidi kuongezeka na idadi ya watu kuwa wengi sana.

Kuna maeneo kipindi cha miaka 9 iliyopita ni ngumu kukuta watu,makazi,sehemu za starehee na n.k.

Idadi ya wafanyabiashara ni kubwa mpaka watu naowafahamu kutoka dar na mikoa ya mbalimbali kama mtwara,mbeya,tanga na n.k wote wapo huku.

Kasoro ya mwanza barabara za ndani bado ni tatizo na sehemu kubwa ya mwanza kunaitaji mitaro mikubwa na midogo kutokana na jografia yake.

Suala la chakula mwanza sio tatizo unaweza kula hata kwa shilingi 1000.

Mzunguko wa pesa mwanza ni mkubwa kwa kila biashara.

Maswala ya bata mwanza wameweza kila kona ni viwanja kujimwaga.

Chizcom wiki inayokuja naelekea Bukoba
 
Mchemsho wa sato bado unapatikana kwa urahisi...

IMG_0456.jpg
 
wanza ni mji ambao kama umechelewa kidogo japo ni mji.unazidi kuongezeka na idadi ya watu kuwa wengi sana.
Kwa takwimu ulioznazo wewe, ni jiji gani linalofuata, baada ya Dar es Salaam? Mwanza pia ni jiji ambalo lina variety ya chakula kizuri ambacho hata Ulaya hawana. Possibly labda Japan, kidogo ndiyo wana samaki na chakula kinachoweza kushahibiana na cha Mwanza
 
Waongeze njia kwakweli barabara ziwe njyingi ukiwa buzuruga kuwa na njia ya kutokezea mkuyuni au nyegezi stendi
 
Ni kweli kabisa hili jiji kuna hawamu zilizopita hasa ya nne walifanya kulitupa hili jiji lakini lilikuwa kwa nguvu za wananchi wenyewe pia kuhusu barabara hasa za ndani bado ni tatizo na barabara za michepuko ni chache sana.
 
Back
Top Bottom