Nimezipata habari hizi kwa rafiki yangu Mhindi anayeishi kwenye flats za NHC jirani na hapo sokoni Mwanza kwenye stand ya magari Bwiru
Inasikitisha sana ni kama Sodoma na Gomorah tena kuna hadi ka binti cha miaka 9 kanajiuza unakuta average ya wanaojiuza ni miaka 12 wakubwa ni 18
Anasema...
Kocha wa Yanga sc amesema moja kati ya vitu ambavyo wachezaji wamekosa ni malengo..
.
“ Inatakiwa toka mwanzo wa msimu mchezaji aweke malengo kwamba mimi kama kiungo lazima nitoe pasi za mwisho zaidi ya kumi na kufunga magoli zaidi ya kumi ktk msimu.
Lakini ukiangalia wengi wanavyocheza ni kama...
Upungufu wa watumishi wa sekta ya afya ndio changamoto kubwa, changamoto nyingine ni watumishi wachache waliopo kufanya kazi zaidi ya uwezo wao. Mfano nesi mmoja kuwahudumia wagonjwa hadi 40 au zaidi kwa siku na wakati mwingine hata kunyimwa siku za mapumziko kwa sababu ya baadhi ya zamu kukosa...
Namtafuta supplier wa samaki aina ya sangara na sato kutoka Mwanza, nahitaji kufahamu mambo haya kutoka kwake
1. Bei ya kilo moja kwa sato na sangara kwa jumla samaki wakiwa mwanza ili na mimi niwauze kwa jumla nikiwa Dar.
2. Namna watakavyozipack katika vifurushi na kuzigandisha kabla ya...
Tunawajua ndani nje na kama kuna ' Uchawi ' wenu ambao huwa kila mkiwa Mkoani Mwanza katika Mechi yoyote ngumu mnautumia na huwa unawasaidia kwa 99.9% ni wa kwenda ' Kuiba ' Maiti Usiku Hospitalini kisha mnaifukia Uwanjani na baada ya Mechi mnaifukua.
Si mnajifanya mnajua Mpira na nyie ni...
Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam ,Dodoma na Mwanza.
SIFA ZAO
★Wanajua ufundi wa magari
★Wamepitia mafunzo ya udereva
★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu
★wastaarabu
★Wasafi
Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva...
Taarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKARA wilayani Ukerewe.
Wakazi wa Ukerewe wakiwa mita chache kutoka kivuko kilipozama
====
Taarifa Kwa Umma Kutoka Wakala wa Ufundi na...
a special thread for the rocky city.
let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....
Leo taarifa nilizopokea zinadai kuwa Dk. Kigwangala ametinga katika ofisi za CCM mkoa wa Mwanza (Jumuiya ya Wazazi) na kuchukua fomu kuwania Uenyekiti wa Jumuiya hiyo Taifa, huku akidai anaamini kuwa CCM ni chama makini na kwamba bado hakijapoteza mvuto.
Richmond kubwa zaidi yaibukia Mwanza
*Ni mkataba wa umeme wa Sh155 bilioni
*Ulisainiwa na serikali Oktoba 2006
*Mitambo haijawahi zalisha umeme
*Mwekezaji analipwa Sh9bn kila mwezi
Na Waandishi Wetu
MKATABA wa Sh155.2 bilioni wa Kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.