Should we thank GOD/ ALLAH
?!
Mungu vinywa vyetu vimejawa na maneno ya Shukrani.
Tunashukuru kwa ajili ya 2020, umekua nasi January mpaka December.
Asante kwa yale ambayo umekwisha kuyafanya, asante kwa yale ambayo bado hujayafanya, asante kwa yale ambayo umefanya kwa sehemu tuu, Tunaomba...
Wanabodi kabla sijajikita kwenye mada husika naomba niwaweke sawa kuwa upinzani hapa Bongoland umekufa sababu ya CCM kujirekeibisha na kufanya yale watanzania walikuwa wanayatarajia kwa muda mrefu hasa vita dhidi ya ufisadi na ubadhirifu.
Kila Mtanzania anafahamu jinsi ugonjwa wa Covid 19...
Ndugu zangu kuna tofauti kubwa kati ya amani ya kisiasa na amani ya Mungu.
Amani ya kisiasa inapatikana kwa kufuata sheria zilizomo ndani ya katiba ya nchi.
Wakati Amani ya Mungu inapatikana kwa kutii sheria za Mungu na kuyafuata na kuyatii maandiko ya Neno la Mungu.
Amani ya Mungu...
Habari za Chrismas wana JamiiForums leo nadhani ni hamsha hamsha kila sehemu nami nikaona isiwe tabu ngoja nianzie church KKKT UKONGA
Wakati naingia jua lilikuwa kali na km Unavyojua sisi wengine hatuendag church nahis leo hata shetan alishangaa maana laiti wangejua mambo ninayofanya na...
Mwanaume mmoja tajiri alikuwa anataka kuoa, lakini hakujua atamuoa nani maana kila msichana alikuwa akijisogeza sogeza kwake naye aliogopa kutokana na kizazi hiki kilicho jilaani chenyewe.
Basi akaamua kumuomba MUNGU ili aweze kumfungua macho ya rohoni aweze kumuona mwanamke sahihi wakumuoa...
Habari zenu wakuu,
Kutokana na kusambaa kwa virus vya Coron, Rais wa Jamhuri ya Muungano amepiga marufuku mbio za Mwenge kwa mwaka huu ili kuzuia mikusanyiko isiyo rasmi
Very nice for our caring president ,long live baba
---
Rais amesema Mbio za Mwenge zinakusanya watu wengi sana na katika...
MKONGWE wa Tasnia ya Maigizo nchini Mohammed Fungafunga maarufu Kama Mzee Jengua amefariki dunia asubuhi ya Disemba 15 huko Mkuranga, mkoani Pwani.
Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kiharusi.
Enzi za uhai wake, Mzee Jengua alikua akiigiza Maigizo kama vile Kidedea, Handsome wa...
Kwenye familia yetu tumezaliwa wavulana 6 wasichana 2, dada yetu mkubwa aliolewa mapema sana. Huyu mwingine wakati anaolewa mama alilia sana maana alimzoea sana na ndo alikua msaidizi wake mkubwa sana, "ajabu baba alifurahi sana" sikumwelewa baba alimaanisha nini mpaka baada ya miaka 6 alikuja...
Ureno imejitolea kuisaidia Msumbiji kupanga mkakati na kuiwezesha jeshi la nchi hiyo kukabiliana na wanamgambo wa Kiislamu wanaotishia usalama katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado wenye utajiri wa gesi.
Mwezi uliyopita wanamgambo waligeuza uwanja wa michezo kuwa "kichinjio", ambako walikata...
Nikiwa mkazi na mpiga kura wa jimbo la Kawe namshukuru Mungu kwa ajili ya mbunge wetu mpya Dr Josephat Gwajima.
Mungu endelea kumbariki na kumtangulia.
Wote tuseme Ameni.
Maendeleo hayana vyama!
Dah IMENIUMA japo HAYANIHUSU ila nimemuonea huruma sanaa mwamba.
Ni mwezi wa 12, Kama kawaida ikifika december au ikiwa inakaribia huwa nazama mikoa ya baridi kupanda miti. Safari hii nimekuja mkoa fulani hivi nyanda za juu kusini na lengo ni kupanda miti ya matunda.
Sasa katika hiyo guest...
Mkoa wa Kipolisi Kinondoni wanamshikilia Mfanyakazi za Ndani , Happiness Sela (24) kwa tuhuma za kumchoma kisu Ezekiel Nyamuko (24) kwa kile kinachodaiwa kuwa alipatwa na hasira baada ya kuambiwa na mtu huyo kuwa ana roho mbaya kama sura yake ndio maana haolewi.
Chanzo: HabariLeo
Sasa...
Mungu tunatubu kama kuna mahali tumekukosea sisi watanzania au tumewakosea wazee wetu waliokwisha tangulia mbele ya haki.
Mungu usiposhuka nakuliongoza Taifa hili miaka mitano tena hatujuwi Nani atatuongoza.
Mungu unajuwa yalio sirini na yalio sio yasirini. Funua ya sirini uliponye Taifa funua...
Mungu ni mkuu, hakika anastahili heshima, utukufu na adhama. Katikati ya miungu hakuna kama wewe BWANA nitakutukuza wewe, nitalifu jina lako siku zote, nitakuabudu wewe tu.
Kamwe sito abudu wala kuyasifu matendo ya mikono ya watu iliyojaa udhalimu na damu zisizo na hatia.
Pesa kwangu daima...
Na Mwamba wa Kaskazini
Nianze kwa kongole kwa Mbunge wangu kipenzi Halima Mdee na wenzake waliokubali kutimiza haki yao ya kikatiba leo kwa kukubali kuapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) kwenye Bunge la JMT.
Wabunge hao takribani 19 wa CHADEMA wameapishwa leo wakati mambo mawili...
KANUNI YA 3; USIMUAIBISHE MUNGU.
Na, Robert Heriel
ANGALIZO;
Makala hii, isomwe na mtu mwenye umri kuanzia miaka 18.
Nisihesabike sehemu ya hatia endapo mtu yeyote ambaye yupo chini ya hapo ataamua kusoma. Makala hii, kwa sehemu ndogo itatumia lugha ngumu hivyo kama hupendi kusoma lugha ngumu...
Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji...
Tukio la msanii wa muziki wa Bongo Fleva, kuzimiwa kipaza sauti wakati aki perform jukwaani,hapa mjini Mombasa, limeusishwa na imani za kishirikina.
Akifanya mahojiano na kituo kimoja cha radio nchini Kenya, Mganga mashuhuri wa jadi kutoka nchini Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.