WATU WA MUNGU TUTAMCHAGUA TUNDU LISU.
Na, Robert Heriel
Sisi watu wa Mungu, wapenda haki, wakataaji wa dhuluma, wakataaji wa utesaji, wapinga umungu mtu, wapenda uhuru, sisi tunaopenda umoja, tutampigia kura Tundu Lisu.
Nilishasema Kura ya Mungu aliyeumba mbingu na nchi ipo kwa Tundu Lisu...