mungu

  1. J

    Kiapo cha Rais wa Marekani kina maneno machache (35) tofauti na cha Rais wa Tanzania, siyo lazima kusema "Mungu nisaidie"

    Wiki mbili zilizopita nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mahubiri ya mchungaji Matsai wa KKKT kimara kuhusu viapo. Uelewa wa mahubiri yale ukanivuta kujifunza namna viongozi mbalimbali wanavyokula viapo vyao vya utumishi nikianzia wa hapa nyumbani na jana nilifuatilia kiapo cha Rais Joe Biden wa...
  2. mama D

    Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

    Tangu ijumaa tarehe 15 January 2021 imekua siku mbaya sana kwa bwana Abdul Jamaa aliyekua akijulikana kama baba Nasibu au Mzee Dangote. Hii issue ya mzee Abdul itapita lakini sisi kama jamii tuna jambo kubwa sana kujifunza haswa kwenye mahusiano na hata kwenye malezi. Kwa wale waamini wa Mungu...
  3. Tomaa Mireni

    Nyie madogo mnaofaulu mitihani acheni kuwadanganya wenzenu kuwa mnamtegemea Mungu

    Ukisikiliza vijana wengi waliofanya vizuri kwenye mitihani yao wanadai ni Mungu tu. Maswali ya kujiuliza 1. Swali linakuja je waliofeli wao hawakumtegemea? 2. Hawakusoma ila Mungu ndio aliwapa majibu au? 3. Kuna wasioamini Mungu lakini wanafanya makubwa,wao wanamtegea nani? Ushauri wangu kwao...
  4. Sosoma Jr

    Mungu ndani ya Gereza

    Mimi ni kijana mkimya niishiye Romani, mwenye umri wa miaka 20 nami ninafurahia kusoma shuhuda binafsi. Mara ya kwanza nilipokutana na Mchungaji Mwadventista, aliniuliza, "Ni aina gani ya vitabu upendavyo kuvisoma?" Nilimweleza kitabu ambacho nilikisoma mara ya mwisho, ushuhuda binafsi...
  5. G Sam

    Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

    Yumkini hali si nzuri. Rais kafunguka. ===== Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe magufuli ameandika: "Ndugu zangu Watanzania, kutokana na ugonjwa wa Corona, nawaomba tutumie siku 3 za kuanzia tarehe 17- 19 Aprili, 2020 {Ijumaa, Jumamosi na...
  6. I

    Maombi kwa mwaka mpya wa 2021 na shukurani kwa Mungu kwa kutuvusha

    Maombi ya kuuaga mwaka wa 2020 na kuukaribisha mwaka mpya 2021. E Mungu Muumba mbingu, nchi na maji. Nakushukuru kwa kuwavusha watanzania wezangu salama katika mwaka wa 2020 na kuwakabidhi mwaka mpya wa 2021. Mungu mwaka ulio upita utufundisha mengi sana ila moja kubwa tulilo kubushwa ni...
  7. MIXOLOGIST

    Nawatakieni heri ya mwaka mpya 2021

    Bandugu, Heri ya mwaka mpya 2021, Mungu awatunze mfikie malengo yenu. Kama una povu siyo mbaya ukalimwaga Stay blessed.
  8. PMWAKA

    Usipite bila kusema shukurani hizi kwa Mungu / Allah kwa mwaka 2020

    Should we thank GOD/ ALLAH ?! Mungu vinywa vyetu vimejawa na maneno ya Shukrani. Tunashukuru kwa ajili ya 2020, umekua nasi January mpaka December. Asante kwa yale ambayo umekwisha kuyafanya, asante kwa yale ambayo bado hujayafanya, asante kwa yale ambayo umefanya kwa sehemu tuu, Tunaomba...
  9. T

    Wini ulichotufanyia hapa Mungu anakuona!

    Uzi tayari!!
  10. Chagu wa Malunde

    Tafakuri: Japokuwa Wapinzani mnamchukia Mkuu wa Kaya, lakini Watanzania wanamshukuru Mungu kuwa na Rais kama huyu

    Wanabodi kabla sijajikita kwenye mada husika naomba niwaweke sawa kuwa upinzani hapa Bongoland umekufa sababu ya CCM kujirekeibisha na kufanya yale watanzania walikuwa wanayatarajia kwa muda mrefu hasa vita dhidi ya ufisadi na ubadhirifu. Kila Mtanzania anafahamu jinsi ugonjwa wa Covid 19...
  11. E

    Kiongozi wa dini usihubiri amani ya kisiasa bali hubiri amani ya Mungu

    Ndugu zangu kuna tofauti kubwa kati ya amani ya kisiasa na amani ya Mungu. Amani ya kisiasa inapatikana kwa kufuata sheria zilizomo ndani ya katiba ya nchi. Wakati Amani ya Mungu inapatikana kwa kutii sheria za Mungu na kuyafuata na kuyatii maandiko ya Neno la Mungu. Amani ya Mungu...
  12. R

    Kuna watu tukisema twende kanisani kila siku Mungu atashusha gharika

    Habari za Chrismas wana JamiiForums leo nadhani ni hamsha hamsha kila sehemu nami nikaona isiwe tabu ngoja nianzie church KKKT UKONGA Wakati naingia jua lilikuwa kali na km Unavyojua sisi wengine hatuendag church nahis leo hata shetan alishangaa maana laiti wangejua mambo ninayofanya na...
  13. muzi

    Sikiliza na heshimu sauti Mungu

    Mwanaume mmoja tajiri alikuwa anataka kuoa, lakini hakujua atamuoa nani maana kila msichana alikuwa akijisogeza sogeza kwake naye aliogopa kutokana na kizazi hiki kilicho jilaani chenyewe. Basi akaamua kumuomba MUNGU ili aweze kumfungua macho ya rohoni aweze kumuona mwanamke sahihi wakumuoa...
  14. digba sowey

    Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

    Habari zenu wakuu, Kutokana na kusambaa kwa virus vya Coron, Rais wa Jamhuri ya Muungano amepiga marufuku mbio za Mwenge kwa mwaka huu ili kuzuia mikusanyiko isiyo rasmi Very nice for our caring president ,long live baba --- Rais amesema Mbio za Mwenge zinakusanya watu wengi sana na katika...
  15. Analogia Malenga

    TANZIA Msanii Mkongwe Mohammed Fungafunga (Mzee Jengua) afariki Dunia

    MKONGWE wa Tasnia ya Maigizo nchini Mohammed Fungafunga maarufu Kama Mzee Jengua amefariki dunia asubuhi ya Disemba 15 huko Mkuranga, mkoani Pwani. Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya Kiharusi. Enzi za uhai wake, Mzee Jengua alikua akiigiza Maigizo kama vile Kidedea, Handsome wa...
  16. kidadari

    Kama wewe mtoto wa kiume, dada zako wakiolewa furahi sana, shukuru Mungu

    Kwenye familia yetu tumezaliwa wavulana 6 wasichana 2, dada yetu mkubwa aliolewa mapema sana. Huyu mwingine wakati anaolewa mama alilia sana maana alimzoea sana na ndo alikua msaidizi wake mkubwa sana, "ajabu baba alifurahi sana" sikumwelewa baba alimaanisha nini mpaka baada ya miaka 6 alikuja...
  17. MakinikiA

    SADC Mungu anawaona jinsi mnavyoitenga Msumbiji na matatizo yao

    Ureno imejitolea kuisaidia Msumbiji kupanga mkakati na kuiwezesha jeshi la nchi hiyo kukabiliana na wanamgambo wa Kiislamu wanaotishia usalama katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado wenye utajiri wa gesi. Mwezi uliyopita wanamgambo waligeuza uwanja wa michezo kuwa "kichinjio", ambako walikata...
  18. J

    Mungu endelea kumbariki Askofu Dr Gwajima akatende uponyaji wa Roho na mwili pia!

    Nikiwa mkazi na mpiga kura wa jimbo la Kawe namshukuru Mungu kwa ajili ya mbunge wetu mpya Dr Josephat Gwajima. Mungu endelea kumbariki na kumtangulia. Wote tuseme Ameni. Maendeleo hayana vyama!
  19. Liverpool VPN

    Hii imeniuma balaa! Wanawake Mungu anawaona...

    Dah IMENIUMA japo HAYANIHUSU ila nimemuonea huruma sanaa mwamba. Ni mwezi wa 12, Kama kawaida ikifika december au ikiwa inakaribia huwa nazama mikoa ya baridi kupanda miti. Safari hii nimekuja mkoa fulani hivi nyanda za juu kusini na lengo ni kupanda miti ya matunda. Sasa katika hiyo guest...
  20. GENTAMYCINE

    Tujitahidi kuwa na matumizi mazuri ya Ndimi zetu kama ambavyo hata Vitabu vya Mungu vimetuelekeza hivyo

    Mkoa wa Kipolisi Kinondoni wanamshikilia Mfanyakazi za Ndani , Happiness Sela (24) kwa tuhuma za kumchoma kisu Ezekiel Nyamuko (24) kwa kile kinachodaiwa kuwa alipatwa na hasira baada ya kuambiwa na mtu huyo kuwa ana roho mbaya kama sura yake ndio maana haolewi. Chanzo: HabariLeo Sasa...
Back
Top Bottom