Mimi ni kijana mkimya niishiye Romani, mwenye umri wa miaka 20 nami ninafurahia kusoma shuhuda binafsi. Mara ya kwanza nilipokutana na Mchungaji Mwadventista, aliniuliza, "Ni aina gani ya vitabu upendavyo kuvisoma?"
Nilimweleza kitabu ambacho nilikisoma mara ya mwisho, ushuhuda binafsi...