Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,385
- 3,894
Chadema inajua kabisa kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ilishindwa kihalali kabisa lakini kwa tabia hizi hizi za uongo uongo siasa za utapeli utapeli wanataka kulazimisha na kuwaaminisha watu kuwa uchaguzi uliporwa hawa watu ni waongo sana na hawatakiwi kuaminiwa tena.
Nilidhani baada ya kuongopa wataacha kutenda dhambi lakini bado hawa watu wanatenda dhambi mbaya sana ya kuwanyanyasa wanawake ambao wamepatikana kihalali wanawakosea heshima na kuwadhihaki na wanaowaonea hawa wanawake ni wanaume.
Chadema wanajua kuwa akina Halima mdee wako kihalali kwa mjibu wa sheria na katiba ya nchi.
Chadema uongo ukiziidi mtapata adhabu kali ya kupotea kwenye ulingo wa siasa jitafakarini mmegeuka kuwa kijiwe cha wahuni na Matapeli badilikeni msipobadilika na mkashupaza shingo mtavunjika ghafula.
Zitiini mamlaka za Serikali na nyie zitawatii msipende kuvunja sheria hafu baadaye mtegemee mteremko.
Kingine jiandaeni kwa maumivu makali kwenye utawala wa mama maana matumaini yenu ya kumpelekesha yalikuwa 100% lakini nawaambieni kuwa mtamkumbuka Magufuli huyu mama si muongeaji tu lakini amenyooka kama ruler kwa 100% mkitaka kuendana naye tiini sheria za nchi.
Nilidhani baada ya kuongopa wataacha kutenda dhambi lakini bado hawa watu wanatenda dhambi mbaya sana ya kuwanyanyasa wanawake ambao wamepatikana kihalali wanawakosea heshima na kuwadhihaki na wanaowaonea hawa wanawake ni wanaume.
Chadema wanajua kuwa akina Halima mdee wako kihalali kwa mjibu wa sheria na katiba ya nchi.
Chadema uongo ukiziidi mtapata adhabu kali ya kupotea kwenye ulingo wa siasa jitafakarini mmegeuka kuwa kijiwe cha wahuni na Matapeli badilikeni msipobadilika na mkashupaza shingo mtavunjika ghafula.
Zitiini mamlaka za Serikali na nyie zitawatii msipende kuvunja sheria hafu baadaye mtegemee mteremko.
Kingine jiandaeni kwa maumivu makali kwenye utawala wa mama maana matumaini yenu ya kumpelekesha yalikuwa 100% lakini nawaambieni kuwa mtamkumbuka Magufuli huyu mama si muongeaji tu lakini amenyooka kama ruler kwa 100% mkitaka kuendana naye tiini sheria za nchi.